Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
<strong>Upendo</strong> <strong>ni</strong> <strong>Utimilifu</strong> <strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong> 19<br />
Injili na <strong>Sheria</strong> husimama kinyume tu cha kila moja – hususa<strong>ni</strong> katika n<strong>ya</strong>raka za<br />
Paulo – i<strong>wa</strong>po ‘sheria’ inaeleweka kama wokovu k<strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong>, laki<strong>ni</strong> si i<strong>wa</strong>po<br />
<strong>Sheria</strong> inaeleweka kama <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu iliyoandik<strong>wa</strong> katika Agano la Kale.<br />
Pasipo <strong>Sheria</strong> <strong>Upendo</strong> Hufa<br />
<strong>Upendo</strong> na <strong>Sheria</strong> hu<strong>wa</strong> pamoja. K<strong>wa</strong> hiyo ukosa-sheria daima hutuongoza<br />
kwenye ukosa-upendo. 11 <strong>Upendo</strong> <strong>ni</strong> utimilifu <strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong> na pasipo <strong>Sheria</strong><br />
upendo hufa. Hii <strong>ni</strong> kweli k<strong>wa</strong> maagano yote <strong>ya</strong>liyotole<strong>wa</strong> na Mungu. Pasipo<br />
<strong>Sheria</strong> hapataku<strong>wa</strong> na upendo katika ndoa na katika familia. Pasipo <strong>Sheria</strong><br />
hapataku<strong>wa</strong> na upendo katika Ka<strong>ni</strong>sa. Pasipo <strong>Sheria</strong> hapataku<strong>wa</strong> na upendo<br />
katika ngazi za chi<strong>ni</strong> na za <strong>juu</strong> Serikali<strong>ni</strong>. Hakuna kifungu katika Agano la Kale<br />
na Jip<strong>ya</strong> kinachofasili k<strong>wa</strong> u<strong>wa</strong>zi zaidi kuliko unabii <strong>wa</strong> Yesu katika Mat. 24:12<br />
“Na k<strong>wa</strong> sababu <strong>ya</strong> ukosa-sheria kuzidi, upendo <strong>wa</strong> wengi utapoa”. 12<br />
Nadha<strong>ni</strong> hakuna mstari katika Biblia unaoeleza k<strong>wa</strong> maki<strong>ni</strong> zaidi, k<strong>wa</strong> kifupi na<br />
k<strong>wa</strong> u<strong>wa</strong>zi zaidi tatizo kub<strong>wa</strong> la Uyuma<strong>ni</strong>sti <strong>wa</strong> siku hizi na pia juk<strong>wa</strong>a la Kiinjili<br />
la siku hizi kuliko huu: “Na k<strong>wa</strong> sababu <strong>ya</strong> ukosa-sheria kuzidi, upendo <strong>wa</strong><br />
wengi utapoa”. Ni rudio k<strong>wa</strong> upendo <strong>wa</strong> Mungu na k<strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu tu<br />
liwezalo kurejesha tena upendo katika familia zetu, maka<strong>ni</strong>sa yetu, mahusiano<br />
<strong>ya</strong> kikazi, jamii na serikali zetu. Ni rudio k<strong>wa</strong> upendo <strong>wa</strong> Mungu na <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong><br />
Mungu tu liwezalo kutuongoza kwenye ujenzi <strong>wa</strong> kila eneo la maisha yetu. K<strong>wa</strong><br />
hiyo tumpende zaidi na zaidi na kuishi katika <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong>ke na kuitangaza k<strong>wa</strong><br />
Ka<strong>ni</strong>sa lisilo na sheria na lisilo na upendo na k<strong>wa</strong> jamii isiyo na sheria na isiyo na<br />
upendo.<br />
Sasa, <strong>ya</strong>pi <strong>ni</strong> matokeo, <strong>wa</strong>kati tuongeapo <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> upendo, pasipo kuruhusi<strong>wa</strong><br />
kufasili aina yoyote <strong>ya</strong> sheria au kanu<strong>ni</strong>? Kuna mifano mingi <strong>ya</strong> kila siku kuhusu<br />
jambo hili ‘uhuru’. Fikiri mchezo <strong>wa</strong> mpira <strong>wa</strong> miguu ambao sheria <strong>ya</strong>ke <strong>ni</strong><br />
‘Ku<strong>wa</strong> Mwung<strong>wa</strong>na!’ 13 Uung<strong>wa</strong>na <strong>ni</strong> kitu kizuri katika michezo, laki<strong>ni</strong> pasipo<br />
sheria, yote ha<strong>ya</strong>na maana na ha<strong>ya</strong>fai kitu. Kila mchezaji angeifasili tofauti.<br />
Iki<strong>wa</strong> upendo ndio kichocheo na lengo la <strong>Sheria</strong>, hatutampenda tu Mtoa-<strong>Sheria</strong>,<br />
Mungu Baba, Mungu M<strong>wa</strong>na na Mungu Roho Mtakatifu, bali pia tutaipenda<br />
<strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong>ke yenyewe, kama tuonavyo tena na tena katika Zaburi. “Ninayo <strong>ni</strong>a<br />
ku<strong>ya</strong>fan<strong>ya</strong> mapenzi <strong>ya</strong>ko, Ee Mungu <strong>wa</strong>ngu, <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong>ko iko nda<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> moyo<br />
<strong>wa</strong>ngu” (Zab. 40:8 - Paulo anautumia mstari huu katika Rum. 7:22). “Ni jinsi<br />
ga<strong>ni</strong> <strong>ni</strong>ipendavyo <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong>ko! Ninatafakari <strong>juu</strong> <strong>ya</strong>ke mchana kut<strong>wa</strong>” (Zab.<br />
119:97; linga<strong>ni</strong>sha na Zab. 119:47-48, 113, 119, 127-128, 159, 163, 165, 167).<br />
11 Kijeruma<strong>ni</strong> hutumia neno ‘Lieblosigkeit’, ‘kutoku<strong>wa</strong> na upendo’ ambalo linaund<strong>wa</strong> kama ‘Gesetzlosigkeit’,<br />
‘kutoku<strong>wa</strong> na <strong>Sheria</strong>’. K<strong>wa</strong> hiyo natumia neno ukosa-pendo, k<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> ‘ukosa-wema’ <strong>ni</strong> dhaifu k<strong>wa</strong> somo<br />
langu<br />
12 Nilitumia Toleo la Mfalme James (King James Version) laki<strong>ni</strong> <strong>ni</strong>libadili ‘i<strong>ni</strong>quity’ (uovu)’ ku<strong>wa</strong><br />
‘kukosa-sheria’, tafsiri bora k<strong>wa</strong> neno la Kigriki ‘anomia’, “ku<strong>wa</strong> huna sheria”. Vifungu vingine v<strong>ya</strong> Biblia<br />
vimetafsiri<strong>wa</strong> na m<strong>wa</strong>ndishi kutoka andiko la Kigriki<br />
13 Kutoka k<strong>wa</strong> Erwin Lutzer. Measuring Morality: A Comparison of Ethical Systems (Dallas, Tex., Probe<br />
Mi<strong>ni</strong>stries Int., 1989) uk. 36