04.09.2013 Views

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

24 Schirrmacher, <strong>Insha</strong> <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Maadili</strong><br />

Aristotle) kusisitiza maisha yenye lengo na kutojali maisha <strong>ya</strong> vitendo. Hivyo<br />

iliku<strong>wa</strong> halali k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>nachama <strong>wa</strong> madaraja yenye heshima na makuha<strong>ni</strong><br />

<strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> huru mbali na shughuli za kimwili.” 19<br />

Mbali na athari hizi za kipaga<strong>ni</strong>, tunapas<strong>wa</strong> kukubaliana na Hermann Cremer<br />

anayeongeza kwenye tathmi<strong>ni</strong> <strong>ya</strong>ke <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> mtazamo <strong>wa</strong> Kigriki na Kirumi<br />

kuhusu kazi:<br />

“Uliku<strong>wa</strong> <strong>ni</strong> Ukristo pekee, kipekee di<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> ufunuo, ulimwengu<br />

hauna budi kushukuru k<strong>wa</strong> mtazamo mwingine <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> asili na thama<strong>ni</strong> <strong>ya</strong><br />

kazi”. 20<br />

Alan Richardson alionesha jinsi Matengenezo <strong>ya</strong>livyofufua mtazamo <strong>wa</strong><br />

kibiblia kuhusu kazi:<br />

“Wanamatengezo, Luther na Calvin, <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>nzo kutumia<br />

maneno wito na kazi k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> majukumu <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kila siku na nafasi katika<br />

maisha <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>tu. Ni muhimu kujua ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>lifan<strong>ya</strong> hivi ili kupinga dhidi <strong>ya</strong><br />

matumizi <strong>ya</strong> lugha <strong>ya</strong> Zama za Kati ambayo <strong>ya</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>ya</strong>kielekeza tu kwenye<br />

wito <strong>wa</strong> maisha <strong>ya</strong> kimonaki. Walitaka kuharibu vi<strong>wa</strong>ngo viwili v<strong>ya</strong> maadili<br />

na kuonesha ku<strong>wa</strong> Mungu aweza kutukuz<strong>wa</strong> katika ulimwengu <strong>wa</strong> kazi pia”. 21<br />

Umishe<strong>ni</strong> <strong>wa</strong> Kikristo ulisafirisha maadili ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kiprotestanti katika mabara<br />

yote. Gustav Warneck, Baba <strong>wa</strong> Kijeruma<strong>ni</strong> <strong>wa</strong> theolojia <strong>ya</strong> umishe<strong>ni</strong> <strong>ya</strong><br />

Kiprotestanti aliandika:<br />

“…Umishe<strong>ni</strong> <strong>wa</strong> Kikristo ulimwengu<strong>ni</strong> ulionesha, kupitia neno la<br />

mfano, k<strong>wa</strong>mba kazi (ambayo kupitia utum<strong>wa</strong> ilibeba un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa mwovu),<br />

iliku<strong>wa</strong> na msingi katika amri kumi za Mungu…” 22<br />

Mungu <strong>ni</strong> Mtenda Kazi Kupita Wote k<strong>wa</strong> Sababu Yeye ndiye<br />

Mamlaka Kuu Kupita Zote<br />

2. Mungu Mtatu hufan<strong>ya</strong> kazi kumpita yeyote yule. K<strong>wa</strong> hiyo, <strong>wa</strong>jibu zaidi mtu<br />

aubebao ndivyo abebavyo kazi nyingi zaidi.<br />

Mfano <strong>wa</strong> mtazamo <strong>wa</strong> Kibudha au Kigriki na Kirumi uliweka <strong>wa</strong>zi lengo la<br />

jamii hizi ku<strong>wa</strong> kama miungu <strong>ya</strong>o, ambalo <strong>ni</strong> ku<strong>wa</strong> huru mbali na kazi. Iki<strong>wa</strong> mtu<br />

aliye na cheo cha <strong>juu</strong> hafanyi kazi kabisa, kazi nzito zitaku<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>lioko<br />

chi<strong>ni</strong> tu. Kadri upandavyo kwenda <strong>juu</strong>, <strong>wa</strong>tu wengi <strong>wa</strong>taishi k<strong>wa</strong> kazi za<br />

wengine. Unyon<strong>ya</strong>ji <strong>ni</strong> jambo lisiloepukika katika jamii hiyo.<br />

19 Friedrich Trzaskalik. “Katholizismus”. kk. 24 – 41 katika: Michael Kloecker, Udo Tworuschka (ed.) Ethik<br />

der Religionen – Lehre und Leben: vol. 2: Arbeit. op. cit. uk. 33<br />

20 Hermann Cremer. Arbeit und Eigentum in christlicher Sicht. Brunnen Verlag: Giessen, 1984. uk. 8<br />

21 Alan Richardson. Die biblische Lehre von der Arbeit. Anker-Verlag: Frankfurt, 1953. uk. 27<br />

22 Gustav Warneck. Die Stellung der evangelischen Mission zur Sklavenfrage. C. Bertelsmann: Guetersloh,<br />

1889. uk. 67

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!