Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
24 Schirrmacher, <strong>Insha</strong> <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Maadili</strong><br />
Aristotle) kusisitiza maisha yenye lengo na kutojali maisha <strong>ya</strong> vitendo. Hivyo<br />
iliku<strong>wa</strong> halali k<strong>wa</strong>mba <strong>wa</strong>nachama <strong>wa</strong> madaraja yenye heshima na makuha<strong>ni</strong><br />
<strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> huru mbali na shughuli za kimwili.” 19<br />
Mbali na athari hizi za kipaga<strong>ni</strong>, tunapas<strong>wa</strong> kukubaliana na Hermann Cremer<br />
anayeongeza kwenye tathmi<strong>ni</strong> <strong>ya</strong>ke <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> mtazamo <strong>wa</strong> Kigriki na Kirumi<br />
kuhusu kazi:<br />
“Uliku<strong>wa</strong> <strong>ni</strong> Ukristo pekee, kipekee di<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> ufunuo, ulimwengu<br />
hauna budi kushukuru k<strong>wa</strong> mtazamo mwingine <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> asili na thama<strong>ni</strong> <strong>ya</strong><br />
kazi”. 20<br />
Alan Richardson alionesha jinsi Matengenezo <strong>ya</strong>livyofufua mtazamo <strong>wa</strong><br />
kibiblia kuhusu kazi:<br />
“Wanamatengezo, Luther na Calvin, <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>nzo kutumia<br />
maneno wito na kazi k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> majukumu <strong>ya</strong>o <strong>ya</strong> kila siku na nafasi katika<br />
maisha <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>tu. Ni muhimu kujua ku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>lifan<strong>ya</strong> hivi ili kupinga dhidi <strong>ya</strong><br />
matumizi <strong>ya</strong> lugha <strong>ya</strong> Zama za Kati ambayo <strong>ya</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>ya</strong>kielekeza tu kwenye<br />
wito <strong>wa</strong> maisha <strong>ya</strong> kimonaki. Walitaka kuharibu vi<strong>wa</strong>ngo viwili v<strong>ya</strong> maadili<br />
na kuonesha ku<strong>wa</strong> Mungu aweza kutukuz<strong>wa</strong> katika ulimwengu <strong>wa</strong> kazi pia”. 21<br />
Umishe<strong>ni</strong> <strong>wa</strong> Kikristo ulisafirisha maadili ha<strong>ya</strong> <strong>ya</strong> Kiprotestanti katika mabara<br />
yote. Gustav Warneck, Baba <strong>wa</strong> Kijeruma<strong>ni</strong> <strong>wa</strong> theolojia <strong>ya</strong> umishe<strong>ni</strong> <strong>ya</strong><br />
Kiprotestanti aliandika:<br />
“…Umishe<strong>ni</strong> <strong>wa</strong> Kikristo ulimwengu<strong>ni</strong> ulionesha, kupitia neno la<br />
mfano, k<strong>wa</strong>mba kazi (ambayo kupitia utum<strong>wa</strong> ilibeba un<strong>ya</strong>n<strong>ya</strong>paa mwovu),<br />
iliku<strong>wa</strong> na msingi katika amri kumi za Mungu…” 22<br />
Mungu <strong>ni</strong> Mtenda Kazi Kupita Wote k<strong>wa</strong> Sababu Yeye ndiye<br />
Mamlaka Kuu Kupita Zote<br />
2. Mungu Mtatu hufan<strong>ya</strong> kazi kumpita yeyote yule. K<strong>wa</strong> hiyo, <strong>wa</strong>jibu zaidi mtu<br />
aubebao ndivyo abebavyo kazi nyingi zaidi.<br />
Mfano <strong>wa</strong> mtazamo <strong>wa</strong> Kibudha au Kigriki na Kirumi uliweka <strong>wa</strong>zi lengo la<br />
jamii hizi ku<strong>wa</strong> kama miungu <strong>ya</strong>o, ambalo <strong>ni</strong> ku<strong>wa</strong> huru mbali na kazi. Iki<strong>wa</strong> mtu<br />
aliye na cheo cha <strong>juu</strong> hafanyi kazi kabisa, kazi nzito zitaku<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>le <strong>wa</strong>lioko<br />
chi<strong>ni</strong> tu. Kadri upandavyo kwenda <strong>juu</strong>, <strong>wa</strong>tu wengi <strong>wa</strong>taishi k<strong>wa</strong> kazi za<br />
wengine. Unyon<strong>ya</strong>ji <strong>ni</strong> jambo lisiloepukika katika jamii hiyo.<br />
19 Friedrich Trzaskalik. “Katholizismus”. kk. 24 – 41 katika: Michael Kloecker, Udo Tworuschka (ed.) Ethik<br />
der Religionen – Lehre und Leben: vol. 2: Arbeit. op. cit. uk. 33<br />
20 Hermann Cremer. Arbeit und Eigentum in christlicher Sicht. Brunnen Verlag: Giessen, 1984. uk. 8<br />
21 Alan Richardson. Die biblische Lehre von der Arbeit. Anker-Verlag: Frankfurt, 1953. uk. 27<br />
22 Gustav Warneck. Die Stellung der evangelischen Mission zur Sklavenfrage. C. Bertelsmann: Guetersloh,<br />
1889. uk. 67