04.09.2013 Views

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

106 Schirrmacher, <strong>Insha</strong> <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Maadili</strong><br />

3. <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> mtazamo <strong>wa</strong> kibiblia <strong>wa</strong> mtoto ambaye hajazali<strong>wa</strong> kama binadamu<br />

awezaye ku<strong>wa</strong> na uhusiano na Mungu.<br />

4. <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> Kutoka 21:22 – 25.<br />

Kamwe, Mungu hajaipa taasisi yoyote haki <strong>ya</strong> kuua mtoto ambaye hajazali<strong>wa</strong><br />

ambaye <strong>ni</strong> mwenye haki katika macho <strong>ya</strong> kila mahakama halali <strong>ya</strong> kisheria.<br />

Uzuiaji <strong>wa</strong> Uuaji katika Amri Kumi<br />

Amri Kumi zinasema, “Usiue” (Kutoka 20:13; Kumb. 5:16; Mat. 5:21), ambapo<br />

hujumuisha uuaji wowote usio halali. Hadhari* zinaruhusi<strong>wa</strong> tu mahali ambapo<br />

Mungu mwenyewe katika maelezo ameruhusu au ameamuru, kama ilivyo katika<br />

suala la hukumu <strong>ya</strong> kifo kisheria (Mw. 9:5-6; Kutoka 22:1-2; Rum. 13:3-4; Mdo<br />

25:11), kujilinda (Kutoka 22:1-2) au kulinda nchi (Neh. 4:8+14; Rum 13;4) 141 .<br />

Kamwe Mungu hajaipa taasisi yoyote haki <strong>ya</strong> kuua mtoto ambaye hajazali<strong>wa</strong>,<br />

ambaye <strong>ni</strong> mwenye haki katika macho <strong>ya</strong> kila mahakama halali <strong>ya</strong> kisheria.<br />

<strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Agano la Kale hairuhusu hata <strong>wa</strong>zazi ku<strong>wa</strong>hukumu <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>o.<br />

Vijana <strong>wa</strong>lio<strong>wa</strong>tisha <strong>wa</strong>zazi <strong>wa</strong>o, ambao <strong>wa</strong>liku<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>tuhumi<strong>wa</strong> <strong>wa</strong> ukosefu <strong>wa</strong><br />

<strong>ni</strong>dhamu, <strong>wa</strong>lipas<strong>wa</strong> kupelek<strong>wa</strong> mahakama<strong>ni</strong>. Adhabu ilifany<strong>wa</strong> na serikali<br />

(Kumb 21:18-21). Mamlaka <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>zazi <strong>ya</strong>liku<strong>wa</strong> na mipaka katika ‘<strong>ni</strong>dhamu’<br />

(Mith. 19:18). Ni serikali pekee yenye uwezo <strong>wa</strong> kutekeleza adhabu kali.<br />

Warumi <strong>wa</strong>limruhusu baba ku<strong>wa</strong> na uwezo usio na mpaka <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>ke,<br />

kabla na baada <strong>ya</strong> kifo, hivyo basi angeweza hata ku<strong>wa</strong>angamiza. 142 Oehler<br />

akiandika <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> Agano la Kale asema, “Hata haki <strong>ya</strong> binadamu <strong>ya</strong> mzazi <strong>juu</strong> <strong>ya</strong><br />

<strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>ke <strong>ni</strong> yenye mpaka - kinyume na sheria za <strong>wa</strong>tu wengine <strong>wa</strong> kale; baba<br />

anataj<strong>wa</strong> kutoku<strong>wa</strong> na haki <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> maisha au kifo cha <strong>wa</strong>toto <strong>wa</strong>ke, tofauti na<br />

ilivyo katika sheria <strong>ya</strong> Kirumi..., <strong>wa</strong>zazi <strong>wa</strong>napas<strong>wa</strong> kumleta mtoto <strong>wa</strong>o m<strong>wa</strong>si<br />

mbele <strong>ya</strong> mahakama.” 143 Mataifa mengine mengi <strong>ya</strong>liruhusu familia<br />

ku<strong>wa</strong>adhibu <strong>wa</strong>nafamilia <strong>wa</strong>o wenyewe. 144<br />

Yeyote a<strong>wa</strong>paye <strong>wa</strong>zazi haki <strong>ya</strong> kutoa mimba hukataa kila kitu ambacho Biblia<br />

hufundisha <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> majukumu na maana <strong>ya</strong> uzazi.<br />

141 Tazama pia Ray. R. Sutton. Who Owns the Family: God or the State? Biblical Blueprints Series 3. Domi<strong>ni</strong>on<br />

Press: Ft. Worth (TX); Thomas Nelson: Nashville (NY), 1987. S. 40-5; Rousas J. Rushdoony. The Institutes<br />

of Biblical of Law. ob. Cit., uk. 185-191<br />

142 Achim Keller. Die Abortiva der Römischen Kaiserzeit. Quellen und Studien zur Geschichte der Pharmazie<br />

46. Deutscher Apotheker Verlag: Stuttgart, 1988. uk. 23.<br />

143 Gustav Friedrich Oehler. Theologies des Alten Testaments J. F. Steinkopf: Stuttgart, 1891 3 . uk. 372 (sic).<br />

144 Mifano na kumbukumbu katika Carle G. Zimmerman. Family and Civilization. Harper & Brothers: New<br />

York / London, 1947. kk. 359 – 383

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!