04.09.2013 Views

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

20 Schirrmacher, <strong>Insha</strong> <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Maadili</strong><br />

Baada <strong>ya</strong> kuimba <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> Uumbaji na Mwumbaji <strong>wa</strong>ke katika Zab. 19, Daudi<br />

anaendelea mbele na wimbo <strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong>, ambao k<strong>wa</strong>o <strong>ni</strong>nahitimisha:<br />

“<strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> BWANA <strong>ni</strong> kamilifu, huiburudisha nafsi. Ushuhuda <strong>wa</strong> BWANA <strong>ni</strong><br />

ami<strong>ni</strong>, humtia mjinga hekima. Maagizo <strong>ya</strong> BWANA <strong>ni</strong> <strong>ya</strong> adili, huufurahisha<br />

moyo. Amri <strong>ya</strong> BWANA <strong>ni</strong> safi, hu<strong>ya</strong>tia macho nuru. Kicho cha BWANA <strong>ni</strong><br />

kitakatifu, kinadumu milele. Hukumu za BWANA <strong>ni</strong> kweli, zina haki kabisa. Ni za<br />

kutama<strong>ni</strong>ka kuliko dhahabu, kuliko wingi <strong>wa</strong> dhahabu safi. Nazo <strong>ni</strong> tamu kuliko<br />

asali, kuliko sega la asali. Tena mtumishi <strong>wa</strong>ko huony<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>zo, katika kuzishika<br />

kuna tha<strong>wa</strong>bu nyingi. Ni na<strong>ni</strong> awezaye ku<strong>ya</strong>tambua makosa <strong>ya</strong>ke? U<strong>ni</strong>takase na<br />

mambo <strong>ya</strong> siri. Umzuie mtumishi <strong>wa</strong>ko asitende dhambi za kiburi, zisi<strong>ni</strong>ta<strong>wa</strong>le<br />

mimi. Ndipo <strong>ni</strong>takapoku<strong>wa</strong> kamili, nami <strong>ni</strong>taku<strong>wa</strong> mwenye haki mbali na kosa<br />

lililo kub<strong>wa</strong> . Maneno <strong>ya</strong> kiny<strong>wa</strong> changu, na ma<strong>wa</strong>zo <strong>ya</strong> moyo <strong>wa</strong>ngu, <strong>ya</strong>pate<br />

kibali mbele zako, Ee BWANA, nguvu zangu, na mkombozi <strong>wa</strong>ngu” (Zab.<br />

19:7-14 KJV).

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!