Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
30 Schirrmacher, <strong>Insha</strong> <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> <strong>Maadili</strong><br />
Umaksi una tatizo lenye kufanana na ubepari usioami<strong>ni</strong> <strong>juu</strong> <strong>ya</strong> Mungu. Vyote<br />
vinatoa wito k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> haki <strong>ya</strong> kazi, laki<strong>ni</strong> havina sheria <strong>ya</strong> kudhibiti haki hiyo.<br />
Wakati Marx hakubali haki yoyote kuwek<strong>wa</strong> katika sheria, marafiki zake <strong>wa</strong><br />
kibepari <strong>wa</strong>najaribu kuweka mitazamo <strong>ya</strong>o katika sheria. Laki<strong>ni</strong> di<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> mali<br />
<strong>ya</strong>weza kutambua haki katika hali <strong>ya</strong> fedha tu. Haki daima humaa<strong>ni</strong>sha kupata<br />
fedha zaidi k<strong>wa</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi kidogo zaidi. Wanasahau k<strong>wa</strong>mba kazi <strong>ya</strong>weza<br />
ku<strong>wa</strong> haki tu i<strong>wa</strong>po inarekebisha kila eneo la maisha, na sio mambo <strong>ya</strong> kifedha<br />
tu.<br />
Kazi <strong>ya</strong> Mungu <strong>ni</strong> Kazi k<strong>wa</strong> Ajili <strong>ya</strong> Mungu<br />
I<strong>wa</strong>po Mungu Mtatu asingefan<strong>ya</strong> kazi k<strong>wa</strong> ajili yetu, tusingeweza kufan<strong>ya</strong> kazi<br />
kabisa. Inga<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>nadamu aliumb<strong>wa</strong> ili afanye kazi na sio ku<strong>wa</strong> mvivu, amri<br />
<strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi <strong>ni</strong> sehemu tu <strong>ya</strong> amri <strong>ya</strong> kumtumikia. Katika Biblia, daima kazi<br />
<strong>ya</strong> mtu ina mipaka. Kinyume na thama<strong>ni</strong> <strong>ya</strong>ke, kamwe kazi si jukumu la k<strong>wa</strong>nza<br />
bali <strong>ni</strong> la pili daima. Kamwe kazi yenyewe si mwisho! Ni mtazamo <strong>wa</strong> kipekee <strong>wa</strong><br />
Kikristo kujumuisha tukuzo la <strong>juu</strong> kabisa la kazi kama kitu kisichofaa iki<strong>wa</strong><br />
haifanyiki katika sura <strong>ya</strong> Mungu, katika mipaka <strong>ya</strong> kazi, ili k<strong>wa</strong>mba mtu<br />
asimezwe kamwe na kazi, bali aiweke kazi chi<strong>ni</strong> <strong>ya</strong> Mungu na <strong>ya</strong> uta<strong>wa</strong>la <strong>wa</strong>ke.<br />
Ni hadi uonapo pande zote mbili k<strong>wa</strong> <strong>wa</strong>kati mmoja ndipo <strong>wa</strong>weza kuele<strong>wa</strong><br />
matokeo <strong>ya</strong>tendayo kazi <strong>ya</strong> maadili <strong>ya</strong> kazi <strong>ya</strong> Kikristo.<br />
Hii <strong>ni</strong> maana <strong>ya</strong> Sabato. Sabato humkumbusha m<strong>wa</strong>nadamu k<strong>wa</strong>mba aweza<br />
kufan<strong>ya</strong> kazi katika “siku sita za kazi” (Eze. 46:1) k<strong>wa</strong> sababu Mwumba <strong>wa</strong>ke<br />
afan<strong>ya</strong> kazi k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong>ke na amempa yeye uumbaji k<strong>wa</strong> matumizi <strong>ya</strong>ke. Pia<br />
Mungu ajua k<strong>wa</strong>mba kufan<strong>ya</strong> kazi mchana na usiku pasipo hadhari si jambo<br />
jema k<strong>wa</strong> m<strong>wa</strong>nadamu.<br />
Tumekwishajadili di<strong>ni</strong> mbalimbali zenye mtazamo du<strong>ni</strong> dhidi <strong>ya</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi<br />
sana. Laki<strong>ni</strong> pia kuna di<strong>ni</strong> zenye mtazamo <strong>wa</strong> kazi ulio <strong>juu</strong> sana unaokosa<br />
marekebisho <strong>ya</strong> maadili <strong>ya</strong> kazi k<strong>wa</strong> siku nzima pasipo pumziko. Umoja <strong>wa</strong><br />
Wanasheria <strong>wa</strong> Kijapa<strong>ni</strong> <strong>wa</strong>sema k<strong>wa</strong>mba katika Japa<strong>ni</strong>, <strong>wa</strong>tu 10,000 hufa kila<br />
m<strong>wa</strong>ka k<strong>wa</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi zaidi <strong>ya</strong> ka<strong>wa</strong>ida. 40 ‘Kifo k<strong>wa</strong> kufan<strong>ya</strong> kazi zaidi’ <strong>ni</strong><br />
jambo lenye kukubali<strong>wa</strong> na Waziri <strong>wa</strong> Kazi <strong>wa</strong> Japa<strong>ni</strong> ku<strong>wa</strong> chanzo maalum cha<br />
kifo. Kuna neno maalum k<strong>wa</strong> kifo kitokanacho na kufan<strong>ya</strong> kazi zaidi katika<br />
lugha <strong>ya</strong> Kijapa<strong>ni</strong>, ‘karoshi’. Kifo kutokana na kufan<strong>ya</strong> kazi zaidi inasem<strong>wa</strong><br />
ku<strong>wa</strong> tokeo la kazi za saa za ziada na ukosefu <strong>wa</strong> n<strong>ya</strong>kati za maburudiko. Mara<br />
nyingi “nyumba<strong>ni</strong> panaku<strong>wa</strong> mahali pa kupatia usingizi tu” 41<br />
Siku <strong>ya</strong> saba isiyo <strong>ya</strong> kazi hu<strong>wa</strong>kumbusha <strong>wa</strong>nadamu k<strong>wa</strong>mba pasipo Mungu<br />
<strong>wa</strong>singeweza kufan<strong>ya</strong> kazi kabisa. “BWANA asipoijenga nyumba <strong>wa</strong>ijengao<br />
<strong>wa</strong>fan<strong>ya</strong> kazi bure. BWANA asipoulinda mji yeye aulindaye akesha bure. Kazi<br />
yenu <strong>ni</strong> bure, mnaoamka mapema, na kukawia kwenda kulala, na kula chakula<br />
40 D. P. “Zu Tode gearbeitet”. Der Kassenarzt No. 12/1991, uk. 32<br />
41 Rud