04.09.2013 Views

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Mafarisayo Miongo<strong>ni</strong> Mwetu 57<br />

kuajiri<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>ke kwenye ofisi hiyo. 70 Sauti nyingine za Kikristo zilizoungana<br />

k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> wito <strong>wa</strong> Uzuiaji k<strong>wa</strong> wenye Miaka Ishiri<strong>ni</strong>, ulihakikisha ku<strong>wa</strong><br />

matumizi <strong>ya</strong> viny<strong>wa</strong>ji vyote vyenye kileo <strong>ya</strong>natangaz<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> haramu, <strong>juu</strong> na<br />

zaidi <strong>ya</strong> Amri za Mungu, <strong>wa</strong>kati k<strong>wa</strong> upande mwingine, mabadiliko makub<strong>wa</strong> <strong>ya</strong><br />

kimaadili katika tamadu<strong>ni</strong> za Kiamerika <strong>ya</strong>lipuuz<strong>wa</strong> na ma<strong>wa</strong>kili <strong>wa</strong>pinga<br />

viny<strong>wa</strong>ji vyenye vileo.<br />

Vuguvugu la Kiinjili linaonekana pia kukana mfumo sheria <strong>wa</strong> maadili <strong>ya</strong><br />

Mungu pasipo kutamka, laki<strong>ni</strong> k<strong>wa</strong> nguvu sana likitetea elimu-maadili <strong>ya</strong><br />

binadamu. Klaus Bockmuhl ameona, “Mara nyingi somo la maadili hufan<strong>ya</strong><br />

jukumu lisilo muhimu katika utoaji <strong>wa</strong> kozi kwenye seminari za Kiinjili. Hili<br />

linashangaza, <strong>wa</strong>kati mtu anapozingatia maadili makali na taratibu za tabia<br />

zinazopas<strong>wa</strong> za <strong>wa</strong>tu wengi <strong>wa</strong> Kiinjili”. 71<br />

Eduard Bohl, ambaye Theolojia <strong>ya</strong>ke Pangilivu iliyo muhimu <strong>ya</strong> karne hii <strong>ya</strong><br />

mwisho imechap<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kuchele<strong>wa</strong>, anasisitiza umuhimu <strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu,<br />

k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> msingi <strong>wa</strong>ke Wakristo <strong>wa</strong>naweza kutambua sheria za uongo na<br />

mapokeo. “Hatuwezi kutupilia mbali <strong>Sheria</strong> kutoka kwenye uhusiano baina <strong>ya</strong><br />

Mungu na m<strong>wa</strong>mi<strong>ni</strong>; hatuwezi kutafuta taratibu mp<strong>ya</strong> k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> mienendo<br />

yetu au kufan<strong>ya</strong> dhamiri zetu wenyewe ku<strong>wa</strong> kigezo cha sheria.<br />

Hatujakombole<strong>wa</strong> ili kuishi k<strong>wa</strong> kulingana na sheria maalumu za kimaadili au<br />

mafundisho <strong>ya</strong> ukamilifu, bali ili tutii Amri za Mungu (1 Kor. 7:19; Gal. 5:6;<br />

Rom. 8:4, 13:10). Inga<strong>wa</strong> <strong>ni</strong> kimaandiko k<strong>wa</strong>mba mwumi<strong>ni</strong> <strong>ni</strong> lazima awekwe<br />

katika njia iliyo sa<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> utakaso k<strong>wa</strong> njia <strong>ya</strong> Roho Mtakatifu, Roho hutumia<br />

Neno la Mungu, kipekee Amri Kumi kama kanu<strong>ni</strong>-ongozi na sheria k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />

maisha yetu”. 72<br />

Ni rahisi sana kuishi k<strong>wa</strong> kulingana na Amri za Mungu kuliko kujaribu kushika<br />

makusanyo <strong>ya</strong> mapokeo <strong>ya</strong> kita<strong>wa</strong>, ambayo <strong>ya</strong>naeleza kile ambacho Mkristo<br />

mzuri anapas<strong>wa</strong> kufan<strong>ya</strong> au hapaswi kufan<strong>ya</strong>, anapasa kufikiri au asichopas<strong>wa</strong><br />

kufikiri. Amri za Mungu hutukomboa sisi kutoka kwenye uta<strong>wa</strong> huu <strong>wa</strong> hali <strong>ya</strong><br />

<strong>juu</strong> laki<strong>ni</strong> ambao <strong>ni</strong> ushika-sheria ulio danganyifu. K<strong>wa</strong> hakika, <strong>ni</strong> lazima<br />

tupinge utii <strong>wa</strong> kiliberali <strong>wa</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Mungu, laki<strong>ni</strong> pia <strong>ni</strong> lazima tuone<br />

k<strong>wa</strong>mba Biblia pia inafundisha k<strong>wa</strong>mba <strong>Sheria</strong> vilevile inatup<strong>wa</strong> nje <strong>wa</strong>kati<br />

<strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>liojitoa sana <strong>wa</strong>napoongeza vipimo na taratibu zaidi za kita<strong>wa</strong> kwenye<br />

zile chache, <strong>ya</strong>a<strong>ni</strong> kimantiki amri zilizotole<strong>wa</strong> na Mungu.<br />

Ili kuepuka kutoeleweka, ngoja <strong>ni</strong>dokeze ku<strong>wa</strong> ulimwengu huu unahitaji sheria<br />

asilia ambazo haziwezi kuchukuli<strong>wa</strong> moja k<strong>wa</strong> moja kutoka katika neno la<br />

Mungu. Hata hivyo, <strong>ni</strong> <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu tu iwezayo kuratibu mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong><br />

70 Tazama C. Everett Koop. “Unterwegs nach Ausschwitz” (1977). S. 31-51 and Ronald Reagan. “Recht zum<br />

Leben” Abtreibung und Gewissen” (1983). S. 17-30 in: Ronald Reagan. Recht zum Leben: Abtreibung und<br />

Gewissen. Haenssler: Neuhausen, 1994<br />

71 Klaus Bockmuehl. Christliche Lebensfuehrung: Eine Ethik der Zehn Gebote. TVG. Brunnen: Giessen, 1993.<br />

uk. 12<br />

72 Eduard Boehl. Dogmatik: Darstellung der christlichen Glaubenslehre auf reformirt-kirchlicher Grundlage.<br />

Scheffer: Amsterdam, 1887. S. 515 (toleo-rudufu 1995).

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!