Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
Upendo ni Utimilifu wa Sheria Insha juu ya Maadili - Martin Bucer ...
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Mafarisayo Miongo<strong>ni</strong> Mwetu 57<br />
kuajiri<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong>ke kwenye ofisi hiyo. 70 Sauti nyingine za Kikristo zilizoungana<br />
k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> wito <strong>wa</strong> Uzuiaji k<strong>wa</strong> wenye Miaka Ishiri<strong>ni</strong>, ulihakikisha ku<strong>wa</strong><br />
matumizi <strong>ya</strong> viny<strong>wa</strong>ji vyote vyenye kileo <strong>ya</strong>natangaz<strong>wa</strong> ku<strong>wa</strong> haramu, <strong>juu</strong> na<br />
zaidi <strong>ya</strong> Amri za Mungu, <strong>wa</strong>kati k<strong>wa</strong> upande mwingine, mabadiliko makub<strong>wa</strong> <strong>ya</strong><br />
kimaadili katika tamadu<strong>ni</strong> za Kiamerika <strong>ya</strong>lipuuz<strong>wa</strong> na ma<strong>wa</strong>kili <strong>wa</strong>pinga<br />
viny<strong>wa</strong>ji vyenye vileo.<br />
Vuguvugu la Kiinjili linaonekana pia kukana mfumo sheria <strong>wa</strong> maadili <strong>ya</strong><br />
Mungu pasipo kutamka, laki<strong>ni</strong> k<strong>wa</strong> nguvu sana likitetea elimu-maadili <strong>ya</strong><br />
binadamu. Klaus Bockmuhl ameona, “Mara nyingi somo la maadili hufan<strong>ya</strong><br />
jukumu lisilo muhimu katika utoaji <strong>wa</strong> kozi kwenye seminari za Kiinjili. Hili<br />
linashangaza, <strong>wa</strong>kati mtu anapozingatia maadili makali na taratibu za tabia<br />
zinazopas<strong>wa</strong> za <strong>wa</strong>tu wengi <strong>wa</strong> Kiinjili”. 71<br />
Eduard Bohl, ambaye Theolojia <strong>ya</strong>ke Pangilivu iliyo muhimu <strong>ya</strong> karne hii <strong>ya</strong><br />
mwisho imechap<strong>wa</strong> k<strong>wa</strong> kuchele<strong>wa</strong>, anasisitiza umuhimu <strong>wa</strong> <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu,<br />
k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> msingi <strong>wa</strong>ke Wakristo <strong>wa</strong>naweza kutambua sheria za uongo na<br />
mapokeo. “Hatuwezi kutupilia mbali <strong>Sheria</strong> kutoka kwenye uhusiano baina <strong>ya</strong><br />
Mungu na m<strong>wa</strong>mi<strong>ni</strong>; hatuwezi kutafuta taratibu mp<strong>ya</strong> k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong> mienendo<br />
yetu au kufan<strong>ya</strong> dhamiri zetu wenyewe ku<strong>wa</strong> kigezo cha sheria.<br />
Hatujakombole<strong>wa</strong> ili kuishi k<strong>wa</strong> kulingana na sheria maalumu za kimaadili au<br />
mafundisho <strong>ya</strong> ukamilifu, bali ili tutii Amri za Mungu (1 Kor. 7:19; Gal. 5:6;<br />
Rom. 8:4, 13:10). Inga<strong>wa</strong> <strong>ni</strong> kimaandiko k<strong>wa</strong>mba mwumi<strong>ni</strong> <strong>ni</strong> lazima awekwe<br />
katika njia iliyo sa<strong>wa</strong> <strong>ya</strong> utakaso k<strong>wa</strong> njia <strong>ya</strong> Roho Mtakatifu, Roho hutumia<br />
Neno la Mungu, kipekee Amri Kumi kama kanu<strong>ni</strong>-ongozi na sheria k<strong>wa</strong> ajili <strong>ya</strong><br />
maisha yetu”. 72<br />
Ni rahisi sana kuishi k<strong>wa</strong> kulingana na Amri za Mungu kuliko kujaribu kushika<br />
makusanyo <strong>ya</strong> mapokeo <strong>ya</strong> kita<strong>wa</strong>, ambayo <strong>ya</strong>naeleza kile ambacho Mkristo<br />
mzuri anapas<strong>wa</strong> kufan<strong>ya</strong> au hapaswi kufan<strong>ya</strong>, anapasa kufikiri au asichopas<strong>wa</strong><br />
kufikiri. Amri za Mungu hutukomboa sisi kutoka kwenye uta<strong>wa</strong> huu <strong>wa</strong> hali <strong>ya</strong><br />
<strong>juu</strong> laki<strong>ni</strong> ambao <strong>ni</strong> ushika-sheria ulio danganyifu. K<strong>wa</strong> hakika, <strong>ni</strong> lazima<br />
tupinge utii <strong>wa</strong> kiliberali <strong>wa</strong> mamlaka <strong>ya</strong> Mungu, laki<strong>ni</strong> pia <strong>ni</strong> lazima tuone<br />
k<strong>wa</strong>mba Biblia pia inafundisha k<strong>wa</strong>mba <strong>Sheria</strong> vilevile inatup<strong>wa</strong> nje <strong>wa</strong>kati<br />
<strong>wa</strong>tu <strong>wa</strong>liojitoa sana <strong>wa</strong>napoongeza vipimo na taratibu zaidi za kita<strong>wa</strong> kwenye<br />
zile chache, <strong>ya</strong>a<strong>ni</strong> kimantiki amri zilizotole<strong>wa</strong> na Mungu.<br />
Ili kuepuka kutoeleweka, ngoja <strong>ni</strong>dokeze ku<strong>wa</strong> ulimwengu huu unahitaji sheria<br />
asilia ambazo haziwezi kuchukuli<strong>wa</strong> moja k<strong>wa</strong> moja kutoka katika neno la<br />
Mungu. Hata hivyo, <strong>ni</strong> <strong>Sheria</strong> <strong>ya</strong> Mungu tu iwezayo kuratibu mga<strong>wa</strong>nyo <strong>wa</strong><br />
70 Tazama C. Everett Koop. “Unterwegs nach Ausschwitz” (1977). S. 31-51 and Ronald Reagan. “Recht zum<br />
Leben” Abtreibung und Gewissen” (1983). S. 17-30 in: Ronald Reagan. Recht zum Leben: Abtreibung und<br />
Gewissen. Haenssler: Neuhausen, 1994<br />
71 Klaus Bockmuehl. Christliche Lebensfuehrung: Eine Ethik der Zehn Gebote. TVG. Brunnen: Giessen, 1993.<br />
uk. 12<br />
72 Eduard Boehl. Dogmatik: Darstellung der christlichen Glaubenslehre auf reformirt-kirchlicher Grundlage.<br />
Scheffer: Amsterdam, 1887. S. 515 (toleo-rudufu 1995).