12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

wangestahiki wamuombe kwa Jina lake la“Muqiitu”, na halkadhalika Wanafunzi wa Vyuoniau Shule, madamu haja yao ni Ilmu, basi MnyeziMungu ni “A-lim” na “A-liim” wangetakawangeomba (pamoja na kujifunza kwao –sio kukaa nyumbani kuomba tu “Ya A-lim,Ya <strong>Al</strong>iim) kwa jina lake moja kati ya mawili hayo.Huo ni mfano mmoja tu ambao Mnyezi MunguAmetuonyesha, basi sio atuonyeshe kwa kila namnatena. Katika Qur an ambayo imekusanya kilalinalohitajiwa kwa njia ya mifano ya muhtasari.2. Kuomba kwa Majina hayo hayo lakini kwa njia yaidadi. Kila jina lina idadi yake, na kila jina linwatumishiwake mahususi katika Malaika Ruhania. Tizamakwa ufinyu tu, Mnyezi Mungu alipoelezea:Qur an: <strong>Al</strong> Muddath-thir:74:30 - 31.“Juu yake wako (walinzi) kumi na tisa. Na hatukuwekawalinzi wa huo moto ila malaika, walahatukufanya idadi yao (hiyo ya 19) illa kuwa mtihanikwa wale waliokufuru…….”.Hadi mwisho wa aya hiyo ya 31.Na hizo idadi ziko ndogo, nazo ni zile zijulikanazo kama“Hijaiya” kwa kufwatana kwa “<strong>Al</strong>ifu” ni moja “Bee” mbili, “Tee”Tatu hadi kufikia “Yee” ambayo ndo herufi ya mwisho katika“Hijaiya”, sawa na 29 au 30 kwa pamoja na “Hamza”- ambayo nisawa na “<strong>Al</strong>ifu” kwa upande.Idadi kubwa ni “Abjadia” namna alivyoteremshiwa Naby AdamAsw, nayo ni “<strong>Al</strong>ifu” ni moja, “Bee” – 2, “Jim” – 3, “Dal” – 4, na“Tee” ambayo katika “Hijaiya” ni – 3, katika “Abjadia” ni - 400– Hisabu hizo utazikuta katika baadhi ya vijuzuu vya Sura Amma82.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!