12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Yeyote alae Riba, kwani makamio yake ni katika daraja moja nawanyang`anyi wa kuuwa na maharamia.Suala hili ni refu na zito sana, lakini inatosha kulielewakwa ufupi, kiasi kile ambacho Mnyezi Mungu mwenyeweamekielezea katika baadhi ya Sura za Qur an kama ile ya:Qur an: Baqara: 2:275 – 280.“Wale wanaokula Riba, hawasimami (kuendesha yao)ila kama anavyosimama yule ambae Shetani kamzugakwa kumsawaa – (Wao mbioni tu hawana kituo). (Na)haya ni kwa sababu wanasema Biashara ni kama Ribahali Mnyezi Mungu amehalalisha Biashara naameharamisha Riba. Na aliyefikiwa na mauidha kutokakwa Mola wake (ya huku kukatazwa Riba ), kishaakajizuia, basi yamekwisha mthibitikia yale (mali)yaliyopita (aliyokwisha yapata: na hukumu yake ikokwa Mwenyezi Mungu . Lakini wanaorejea (kula Riba)basi hao ndio watu wa Motoni, humo watakaa milele”.“Mwenyezi Mungu huyafutia (baraka mali ya) riba; nahuyatia baraka (mali yanayotolewa) sadaka, na MwenyeziMungu hapendi kila kafiri (na ) afanyae dhambi.61.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!