12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

4. "Wala usifuate (ukipita ukisema au kuyafanya)usiyo na Ilimu (ujuzi) nayo. Hakika masikio namacho na Moyo, hivyo vyote vitaulizwa".Tupate kuzingatia mapema mapema suala la Moyo huo. Tuangaliekatika:Qur an: Suratin Nnass: 114:1 - 6.5. "Sema najikinga kwa Bwana mwenye kuwalea, Mfalmewa watu muabudiwa wa watu, na shari ya mwenyekutia wasiwasi mwenye kurejea nyuma, atiayewasiwasi nyoyoni mwa watu (ambaye ni) katikamajini na watu".Nini muradi wa Mnyezi Mungu kwa mkusanyiko wa kauli zotehizo kutoka katika Sura mbali mbali?Naam, mkusanyiko wa aya zote hizo na nyingi mfano wa hizo,zimekusudiwa huo Moyo ili utayarishike sawa sawa katika yakini(yaqini); na lengo lake ni kumtambua Mnyezi Mungu mmoja. Nahuko ndiko kumuabudu. Kuabudu au Ibada ni neno ambalowaarabu haliwapi taabu, lakini kwa kiswahili unaposema kuabuduni kuabudu, au kufanza ibada inakua bado hatujafasiri kitu, napengine huenda tukakwama tukilifasiri kua ni kuswali aukumuomba Mnyezi Mungu. Wakati tukiulizwa juu ya mfano wandugu zetu Mabaniyani wanapolikabili jua saa likichomoza, huawanafanza nini?.Kuabudu ni kutambua, tena kwa yakini (yaqini) kua MnyeziMungu ni mwenye kupatikana na ni ambae Hapasi kuabudiwa kwayakini (yaqini) Asiye kuwa yeye.Na sasa tunaanza na ufafanuzi ambao, Inshallah utatufikishakatika kudhihirikiwa kua huo Moyo sio ni wewe tu, bali ndio Nafsi16.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!