12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kila ikija list ya kuitwa majina “fulani fulani” “Labbeka” yupo –hathubutu kukimbia akawa (absent).“Wa ma-hum anha bigha-ibina wa ma-adraka-Maa yaumud-diin”.“Nini kitachokujulisha kitafanya ujue nini hiyo sikuya hukmu”.“Thuma ma-adra-ka ma-yawhud diin”“Nini baada ya hapa kitacho kujulisha nini siku yahukmu”.“Yawm-laa tamliku nafsi linafsi shay-an”.“Hapana nafsi itomiliki kumiliki nafsi nyingine kwakitu chochote.(Hapana nafsi yoyote itathubutu kuja bila Amri ya Mnyezi Munguna kukubaliwa na Mnyezi Mungu, “Aa, mimi namuombea huyumtu wangu”. “Huyu Swahiba wangu”, “Huyu mwanangu”, “HuyuMuriidi wangu”, Sharti Mnyezi Mungu Ampe ruhusa kwanza).“Walaa yash-fauw-na illa limanir tadhaa”Wala hawashufii ila wale Mungu alowaridhia kwanza, kua “huyuanaweza kuwashufaiya; a” huyu alikua mtu; unaambiwa kachupamipaka, katoka kwenye (cycle) ya kushufaiwa”. Si mambo yakuyafanyia maskhara, inataka mtu akae afikiri na mamboyanamngojea kila mtu.“Yawma laa tamliku nafsi linafsi shay an walamru yawmaidhin lillah.”“Na amri-jambo siku hiyo lina Mwenyezi Mungu”.<strong>Al</strong> hayyul qayyumu Mnyezi Mungu hakuna Mola ila yeye (na)ndiye mwenye Uhai wa maisha msimamia kila jambo, Anayejuayote - Laa- taakhudhuhu sinatu walaa-nawm - Haumchukuiusingizi, kusinzia wala usingizi. Yaalamu ma-bayna aydi-him -Anayajua yalo mbele yao watu wote - Wamaa-khalfahum - nayalo nyuma yao - Walaa yuhiitwuna- Wala hawazungukii akiwajua45.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!