12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

5. Kurukuu.6 Kujituliza, kiasi cha kusema “Sub-hana Rabbiyal adhwimi wa Bihamdihi” x 3.7. Kuitadil, (kurudi wima) huku ukisema: “SamialLahu limn hamida” x 3. (Maamuma atasema: “Rabbana lakal hamdi” kwa kifupi).8. Kujituliza, ndani yake.9. Kusujudu mara mbili.10. Kujituliza.11. Kitako, baina sijda mbili.12. Kujituliza, ndani yake.13. Kitako ajili ya Tashahudi.14. Tashahudi katika kitako cha mwisho (yaanikusoma Tahiyyatu).15. Kumswalia Mtume Saw.16. Kutungamanisha (Taratibu).17. Kutoa Salamu, kulia na kushoto unageuza usowako.Mwenye Kuswali akiacha nidhamu hiyo kusudi, mfanoakitanguliza nguzo ya kitendo - kama Kusujudu kabla ya Kurukuuna kuitadili, basi Swala yake itavunjika.Basi ipo maana nzito na yenye hakika na ithibati kamamwenye kauli ya Bwana Mtume Saw:“Amali ya kwanza kuulizwa mja, siku ya hisabuni Swala ikikutwa imetimia basi zitakubaliwa napamoja na amali zake zote zilizobaki”.78.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!