12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Wanakuuliza juu ya ulevi na kamari, sema: katikahivyo mnamadhara makuu na (baadhi) ya manufaakwa (baadhi) ya watu. Lakini madhara yake nimakubwa zaidi kuliko manufaa yake. Na wanakuulizawatoe nini? Sema: “Vilivyokuzidieni.” Namna hiviMwenyezi Mungu anakubainishieni Aya (zake) mpatekufikiri”.Na kwa nini amali mbili hizi zina madhara makubwa mno? Sababusi nyingine isipokua ile ya kua kwake fungu katika mambo yasheytwani, Mnyezi Mungu anabainisha hivyo katika:Qur an: Suratil Ma-idah 5:90.“Enyi Mliomini! Bila shaka ulevi na kamari, nakuabudiwa (kuombwa ) asiyekuwa MwenyeziMungu, na kutazamia kwa mishare ya kupigiaramli (Na kwa vinginevyo) (yote haya) ni uchafu(na) katika kazi ya sheytani. Basi jiepusheninavyo. Ili mpate kufaulu (kutengenekewa)”.Mfano wa Kuzini: katika kijishughulisha na wanawake tu kwakuzini nao, badala ya kuoa ukatulizana au na baada ya kuoa piaukawa unazini – basi huko ni kuutumia mwili vibaya, nakuudhoofisha afya na nguvu hupungua sana. Kwani walopimamchupo wa manii, wamegundua kua katika kila tone moja kunamatone sabini ya damu. Damu ni kitu azizi ndani ya mwili, nayo iliipatikane kwa wingi unotosha kutuweka katika hali ya afya,tunapaswa kutumia vyakula vizuri ambavyo tunavinunua toka58.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!