12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Wa-rajulun”Na mtu”“Da-at-hu”“Amemuita mtu yule”“Mra-atun”“Mwanamke”“Dha-tu Mansibun”“Mwenye cheo”,“Wa jama-lin”“Na uzuri”“Faqala inni akhafu Llah”,“Akasema mimi namuogopa Mnyezi Mungu”.(Hapana kusema wanavyosema vijana wa kisasa “Aa, si katakamwenyewe” – inatosha wapi umuogope Mnyezi Mungu).Na mwengine kutoa mkono wake wa kulia, mkono wa kushotohauna habari. Yaani katoa sadaka kafanya kwa lilah hatta hapanaanaejua. Mradi, wote saba, watu ambao Mnyezi Munguatawaambia siku ya kiyama-“Tahiyyatu-hum fii-ha sala-m”Maamkio yao – Mnyezi Mungu kuwaamkia ni “Sala-m”. Hawawanatokota motoni, na hawa Mnyezi Mungu anawaamkia “Sala-mqawlan min rabbi rahiim”. Na wao wenyewe wanaamkiana “Salamtahiyyatu-hum fii-ha sala-m”. Wanaamkiana wenye “Sala-m”kuna salama tu – (peace) basi.Pepo ya Kiislam ina amani, hapana mtu atosikia neno la kumuudhi,Hapana chochote – La-ila-ha-illa llah. Yaa Rab Amani Salam - baliwanaanza kuipata tangu wanapoondoka duniani. Malaikawanawafisha na huku Malaika wanawaambia:“Salam aleykum al-ladhi-na tawaf-fata humul Mala-ikat48.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!