12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Hakufukuzi sasa mbona umeshindwa, laa.“Innal ladhi-nat-taqaw”.“Hakika watu wenye Taqwa”.“Idhaamas-sat humut twaifun minash shaytwani”.“Wakiguswa na sehemu katika Shaytwani”.“Tadhakkaruw”“Wanakumbuka”Khalafu Sheytwani anaweza kukuta sehemu ya Basharia yaInsaan anapita kwa njia ya basharia, anaingia katika Insaan,anamukhadaa katika njia ya matamanio, katika njia ya majivuno yakujiona, njia ya kughafilika. Usifanye hivyo, ukifanya hivyoukamsahau Mungu kabisa, umekhadaika na Mungu, mambo yaMungu umeyaachilia mbali. Huna Sala tano, huna saumu, hunachochote huna kutumikia walo kulazimu uwatumikie, huna Insaaf,huna uaminifu Mungu hatambui, inaonyesha nini:“Tukadh- dhibuna bid-dini”.“Mnakanya, Mnakataa, mnakadhibishahukmu na kila kitu kinaandikwa”.Kuna Malaika kazi yao kuandika:“Wainna alay kum laha-fidhii-na”.“Na hakika juu yenu (wako) wenye kuhifadhihayo mnayoyafanya (na kila kitu)”.“Kira-man ka-tibi-na”.“Waandishi”.“Maa yalfidh min qawlin illa laday-hi raqib-un atiid”.“Hatamki mtu neno ila mbele yake yuko Raqib na Atid”.Raqib anaandika mema. Ati-d anaandika maovu. Akifanya ovu Atid,kwanza huzuiwa. “Mwache labda atakumbuka, atarejea kwa MnyeziMungu”. Na ni mwepesi ikiwa mambo yenyewe hayajakamatana na40.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!