12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

MALIPO YA PEPO KWAWAPENDANAO LILAHI:Itanadiwa:-“Aynal muta-ha-bbi-na- lijala-li adhilluhum tahta dhilliyawma laa dhillu illa dhili”.“Wako wapi wanaopendana kwa ajili ya Utukufu wanguniwafunike chini ya kivuli changu, siku ambayo (leo)hapana kivuli illa kivuli changu”“Wajabat mahabbati lilmutahabbi-na-fiiya”“Yamepasa mapenzi yangu kwa wenye kupendanakwa sababu yangu”.“<strong>Al</strong>-mutajali-sin fiiya”“Wenye kukaa pamoja kwa ajili yangu”Na kuna watu saba: “Yudhillu-humu llah tahta dhilluhu yawmala dhillu-hu”. Mmoja Imam -A-adil - Waja wake wenye kufanyauadilifu. Na katika hao waliotajwa, “Shabun Nashaa fii twa-atiilaha”. Kijana kakulia katika twaa, fi ibadatil-laha – katika ibada yaMnyezi Mungu (kama vijana ambao wana Swala zao tano,wanakutana kwa ajili ya Mnyezi Mungu <strong>Al</strong>-hamdu-lillah inatakawashukuru. Na alama kubwa ya kushukuru ni kuepukana nakumuudhi Mnyezi Mungu kadiri unavyoweza.“Sha-bbun nasha-a fii twa-ati llahi warajula-ni tahabbafil-la-hi”“Watu wawili wamependana kwa ajili ya Mnyezi Mungu ““ljtamaa alay-hi”.“Wamekusanyika kwa sababu ya Mnyezi Mungu”“Wa-tafarraqa alay-hi”.“Wamefarikiana kwa sababu ya Mnyezi Mungu”.47.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!