12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

athali ya kishimo hasa. Kwa upande mwengine alikuwepo mlevi wakupindukia, hakua na amali nyengine yeyote zaidi ya pombe.Mtihani kati yao ulikuwa juu ya uwezo wa Mnyezi Mungu katikakumpitisha Ngamia mzima ndani ya tundu ya sindano (hii hainauhusiano wowote na aya 40 katika Suratil Aara-f ambapo MnyeziMungu anasifia juu ya roho za makafiri kua hazitapenya mbingunilabda hata atapopenya ngamia ndani ya tundu ya sindano. Aya hiyoilikua mbali na aya hii).Basi matokeo ya mtihani wao yalikua hivi: Yule mcha Mungukwa muda wa miaka 80 alizingazinga moyoni mwake akasema(nafsini mwake) "Amma Mitume hawasemi urongo, lakini!! Aa!! hiihabari ya kupitishwa ngamia mzima mzima ndani ya tundu yasindano!!!!. Amma kwa yule mlevi ilikuwa hivi: Mara baada yakuelezwa kisa kile, yeye alijibu kwa kutaassaf na kuhuzunika:"Yaani kalimal lah (ewe mwenye kusemezana na Mnyezi Mungu)Mnyezi Mungu ni muweza wa kuipitisha dunia nzima ndani yatundu ya sindano, nini ngamia katika ukubwa?".Na kwa upande wa pili wa zile hisia mbili ziwezazo kuta-atharikutokana na kujiuliza mtu juu ya KUFA - ikiwa utapata woga maratu baada ya kujisikizisha binafsi yako, basi itaonyesha wazi kua ikotamaa kwako kurejea kwa Mola wako na kuiacha dunia na ghururizake, kwani hiyo ni dalili ya kuipa nyongo. Bwana Mtume S.A.Wamesema:“Iz- had fid - dunya yuhbibkal llah""Ipe nyongo dunia atakupenda Mnyezi Mungu"."waz - had ma - fin nas yuhbibkan - na-s"."Na yape nyongo yalo na watu watakupenda watu".Na hii huenda ikawa ni kumbusho kwako, toka kwa Mola wakobasi, fanza haraka kwani, huenda hiyo ikawa ndo nafasi yako yapekee na sio rahisi kwa nafasi kumjia mtu mara mbili (opportunitynever comes twice and misfortune never comes single).Kwa yote hayo, yafikirie mauti vipi yanavyomuhujumu mtu,iweje wewe kughafilika nayo?Bwana Mtume SAW anasema:“Hayakumbuki mtu mauti illa atazidisha mambomema, na atapunguza maasi”Kwa hivyo, kwa muumini kuyakumbuka mauti ni ibada kubwa sana.6.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!