12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Ulimi na viungo vingine vya dhahir. vyote hivyo vinatumikia Moyokwa sababu Mnyezi Mungu ameshavisakhirisha kwa ajili yake(Moyo) na katika kutekeleza amri vinafanana na Malaika waMnyezi Mungu ambao hawaasi hata siku moja na hufanya yaleambao wameamriwa. (Tafauti na itikadi za baadhi ya watu ambaowanaamini kua Malaika wanaweza kukhini, na wakafikiliza amritofauti na vile walivyoamriwa na Mola wao).Kiwiliwili ni Marikebu ya Moyo, na ndicho ambacho hukipanda, nakuuzidisha ilmu na kumakinisha sawa-sawa. Basi mwenyekujifanzia zawadi Moyo wake, maslahi yake baadae – hua ametimiaAkili.Miongoni mwa askari wa (ii) Ba-tini ambao hawaonekani kwamacho ni matundu ya ubongo – Dima-gh (Cerebruim, cerebellumna medula Oblongata).1 . Mtu baada ya kuona kitu (jambo) hukifutika na (kuipata) kuijuasura ya kitu kile ndani ya nafsi yake kwa njia ya khayali (mfano wamwenye kutoa) sura ile hubaki nayo katika kumbukumbu.Anaeisababisha kua hivyo ni askari wa kuhifadhi.2 . Kisha hufikiria kile alokihifadhi ambapo hua mwenyekukipandanisha baadhi kwa baadhi. Ikiwa iko haja anawezakurejea sura yote akaikusanya pamoja ili ajenge maana kamiliyenye kuweza kuhusika ndani kwa ndani au kuzishirikisha vileapendavyo katika tandhimu (utungo) hii inapatikana:-Tafakuri.Kumbukumbu.Hadithi.Na Kupinga picha (khayali).Na lau Mnyezi Mungu hangeumba Askari khao, basiubongo (Brain) ungeachia, si ajabu kila kitu cha maana ambachokingeachiwa kwa muda.MFANO WA MTU NDANI YA KIWILIWILI:Mtu anapokuwa ndani ya kiwiliwili anakua na mfano waMfalme katika Mamlaka yake ametulia kabisa. Jina ki - wili-wilipeke yake linamfahamisha kila mwenye Akili ilosalimika kua nivitu viwili, Sio kimoja. Ni umbo lenye jingine ndani yake. Na ndomaana siku ya kufa Mtu akaachana na kiwiliwili chake, kiwiliwili51.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!