12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“ni kua mazoea tu yamemfika na anapigana na nafsi yakeanaisemeza nafsi:-“Yaa nafsi walihubbik, mtawaani”“E! Nafsi nakuonea huruma mpaka lini unajiakhirikuniakhirika namna hii”.Na kila ukiacha mapema na ukenda mwendo mzuri mapemando inakua wepesi kwako wewe, ukikawia, inakua kama mtiumeuacha umetia mizizi ukitaka kuung’oa taabu, na ni uzitokuung’oa mti ule, Na raha sana kuwa mwema mtu, na utakuaukijambia:-“Yaa ayyuhal ashbaan, maa gharraka birabbikalkarim al ladhi khalaqaka fasaw aaka faadalakafi ayyi swu-ratin maashaa-arak –kabaka, kalla baltukadh-dhibuna bid-diini wa inna alaykum lahaafidhinakiraaman ka-tibina yaalamuw-na maa tafaluna-innalabraala lafii naiim a (wa Innal fujja-ralafi-jahiim).Hakika watendaji wema wako katika neema kubwa wawe ndaniya Neema (hapa duniani kabla ya Akhera, sikwambii watakapofikaAkhera).NEEMA ZA DUNIANI NA NEEMA ZAAKHERA:“Wainnal fujjaara la fii jahiim”.WATU waovu wachafu matata mifujjaari, mijitu matata (malaghaiImaani zao za ujanja) la fii jahim – wako ndani ya moto hapaduniani.Inawataabisha - Conscious –dhamiri yao.“Yas - lawnaha yawmad -diin”.43.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!