12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

MNYEZI MUNGU, BINAADAMU NAMAUMBILE:Mnyezi Mungu aliyetukuka ametengeneza na kujaalia kitu kwaajili ya Binaadamu, na Amemtengeneza Binaadamu kwa ajili yakeyeye.Na ajaribu Mtu kuhisabu, kuanzia popote pale alipo ataonakua kila kiliopo mbele yake kimekusudiwa yeye. Hiyo ajabu kubwana neema isiokua na kipimo maalum. Ukiacha hayo yote ukatizamayaliokaribu zaidi, utaona Mnyezi Mungu pia amekuumba,akakuekea macho, na maono (Baswari) na jamii ya viungo ambavyosi mgeni navyo kwa sababu viko mwilini mwako. Na wako ambaoMnyezi Mungu mwenyewe amewanyima, basi ni kwa Hikma yakeamefanza hivyo, sio kwa dhulma. Kwani yeye hawi mwenyekudhulumu Mtu, au kiumbe.Basi baada ya kuumba kila kitu kwa ajili ya Mtu(Mwanaadamu) Amemuumba Mwanaadamu kwa ajili ya MnyeziMungu (Mwenyewe) na ndo maana akasema katika:Qur an: Suraul Bayyinah: 98:5.“ Wala hawakuamrishwa ila kumuabudu MwenyeziMungu kwa kumtakasia Dini, wawache Dini za upotofuna wasimamishe Sala na kutoa Zakah – Hiyondiyo Dini iliyo sawa. (Nao wameikataa)”.Kwa ushahidi huo, ni yenye kuonyesha kua saa yeyote ileanapokengeuka na yule ambaye kwa ajili yake ndo ameumbwaanakua katika makosa ya kuchukiza kabisa, na hasa ikiwa anajua(sio mjinga ambae anaishi mbali na mji au jijini). Umekwisha patafununu nzuri ya kujijua wewe ni nani na kuja kwako hapa duniani nikwa madhumuni gani. Kwa hivyo, mpaka kufikia hapa wewe siomjinga tena. Na ikiwa haya yaliomo ndani humu si yenye kutokakichwani mwangu kwa matamanio ya Nafsi, yangu bali ni56.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!