12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

ya “Kafu” na “Nuni” tu, yaani – “Kun Fayaku-n”, angeweza bilashaka yeyote kumtumbukiza Mtu mzima mzima ndani ya moyomdogo kama ule ulotolewa na Daktari; na kwamba siku ya kiyamaakamtoa tena Mtu yule yule toka kwenye mchanga (Bi Dunia) lakiniHajaagiza hivyo. sio rahisi aende kinyume na alivyokwishapanga.Qur an: Surat Fa-tir: 35 : 43.….."….Wala hutapata mabadiliko katika kawaida yaMwenyezi Mungu". (Na kadhalika hutapata kuonazikihama – kawaida hiyo ni tangu zamani imetanguliakuwepo kwake).Na kama ndo hivyo, kwamba mambo yake Mnyezi Munguhayawezi kubadilika badilika ovyo ovyo tu, basi - Moyo lazima uwena sura nyengine zaidi ya ile tuliyoizoea, haijakudhihirikia tu, kua,huu Moyo, nini hukmu yake?.MOYO NI WEWE:Bila shaka yeyote Akili inakubali bila upinzani wowote naingawaje Mtu amekipita kila kitu kwa ubishi, kwamba ikiwa (niMoyo) ndo unaotamka. ndio wenye Imaani na Uislam, ndoUnofikiria, ndo Unaoamrisha mpaka matendo yakafanzika, ndoutaoonja raha na kumiliki yote miongoni mwa neema na fadhilakubwa zilizoahidiwa kupewa, mfano wa isemayo aya hii katikaQur an: Wa-qian: 56 : 22-24."Na wanawake wenye macho mazuri na makubwa (yavikombe) (wanapendeza na safi) Kama kwamba nilulu zilizofichwa (katika machaza yake ndio kwanzazinapasuliwa), ni jaza ya hayo waliyokua wakiyatenda".Ikiwa ndo hivyo basi, ni kweli na yakini (kua ndio mimi ndie yeye).20.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!