12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kwa hivyo baada ya Nafsi hiyo kuwekwa ndani mwetu imekuani majaribio tosha kwetu kumtafautisha Mtu na Mnyama, na Mtuna Malaika. Vipi habari hiyo?Mtu anakua Mnyama akiifwata Nafsi yake na pengine Mnyamaakawa afadhali kwa sababu ya akili. Na Mtu anakua kama Malaika,akiipinga Nafsi yake akatekeleza yote aliyoamrishwa na MnyeziMungu bila kuasi, na papo atamzidi Malaika kwa sababu yamatamanio, ambayo Malaika hakupewa.Kwa hiyo wakati ukhabithi wake (Nafsi) ni zaidi ya Mashetwanisabini, basi ni wazi kabisa kua Shetwani mmoja hawezi lolote juu yaMtu. Ndo, sawa na kusema afanzapo mtu kosa, si rahisi kukubalikakua amezidiwa nguvu na Shetwani kuliko kua ni Nafsi yakemwenyewe. Nafsi hiyo inaweza kubadilika kama mtu mwenyeweanataka.MABADILIKO YA NAFSI HADI KUUNGANANA ROHO:Kama tulivyoona ya kua asili ya Nafsi ni Roho, na kwambailipata usugu baada ya kuchangukana nayo, basi inaweza kurudiakuungana na Roho.Qur an:Ash-Shams:91:9 -10“Bila shaka amefaulu alieitakasa (Nafsi yake) nabila shaka amejihasiri alieiviza (Nafsi yake )”..Safari ya kujitakasa inaanza pale anapokwisha tenda kosa na kuanzakujuta. Kwani ni lazima ajilaumu. Basi anapofikia hadi hiyo, huaamebadilika toka:1. Amma-ra – imeingia katika Nafsil:2. Law-wama – Amma anapotubia mtu akarudi kwa Mola wake,pamoja na kuazimia kufanza kheri tu, basi hua ni mwenye Nafsil:3. Mul-hama – Hii ndiyo Nafsi ambayo Mnyezi Mungu aliikhitari32.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!