12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

ndani ya kichwa. Akili imo ndani ya Moyo, na ndo Johari yakehasa. Akili ni kitu azizi sana, ambacho Mnyezi Munguhumuhukumu mja wake kwa kadiri ya akili yake. Na ambae hanayobasi hua hana hukumu yeyote juu yake. Na hapo ndo mfano wamwenda wazimu na mtoto unapovutika. Wa kwanza (mwendawazimu) mas-ala yake yanajulikana; kwani kuhisabiwa kwake nikabla ya kupata ugonjwa huo. Amma mtoto atahesabiwa kuanziamiaka 9 hadi 15. miaka tisa, kama ametokewa na manii katika umrihuo au hadi kufikia miaka kumi na mitano.Kuhusu kukua kwa akili ya mtoto kila miaka inapomsogeambele sio rahisi kuelezea, lakini ukweli ni kwamba inasaidiana naUbongo. wa mbele ya kichwa (ambao wanasayansi wanauita –Cerebrium) na pia kusaidiana na ubongo wa katikati ya kichwa(Cerebellum) na ule wa uchogoni (medula oblongata). Na huzidina kupungua. Amma kuzidi kwake ni kwa kadri ya majaribio(Experimentations), na pia kwa kusoma Qur an kama alivyosemaBwana Mtume SAW.UISLAMU NDANI YA AKILI:Mnyezi Mungu alipoiumba Akili aliiamrisha kugeuka nyuma(mfano wa askari kwenye mafunzo-about-turrn, Right-turrn- nyumageuka, kulia geuka, na kadhalika) ikageuka - Mnyezi Mungualifurahikiwa nayo na kusema:“Sikuumba baada ya Mohamad (Nuru yake) Kitubora kuliko wewe, na sitakuweka ila kwa walewenye kupendeza sana mbele zangu”.Na ni kutokana na sababu hiyo leo kila mwenye akili hupendwasana na watu.Kitendo cha Akili katika Utu wake mbele ya Mnyezi Mungu,kwa mujibu wa misingi ya uislamu (principales of Islam) ni chenyekuonyesha Uislamu. Kwa hivyo kila mwenye akili hatokosa kuwamnyenyekevu. Hatokosa kua mwenye kumuogopa Mnyezi Mungu,nako ni kufwata maamrisho yake.Mpaka sasa hakuna alielezea Akili ni kitu gani hasa na juu yakuzidisha uchunguzi juu yake. Wana Elimu ya viumbe (Biologists)24.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!