12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kutumikia Mwili upatie matamanio yake, uupe nguvu, basiuuhudumie Mwili, uwe na nguvu tu au starehe zake mwili tu.“Atat lubur rib hu fiima fiihi khusran nu…”“Unatafuta faida katika kitu ambacho ndani yakemna khasara.”Kila unapomuona mtu mzima, hakuwa namna hiyo alikuakijana, na ujana wake ulitumika kwa sehemu ya Ubinadamu,sehemu ya Ubashari na Insaan ndio aliesemezwa akaongozamwili, sasa unatumika mwili tu. Na mwili unapotea kila siku kidogokidogo na kwa bahati kijana akifika utu uzima ni lazima siku mojamwili utamtoka.“...Atat lubur rib hu fiima fiihi khusran nu aqbil alannafsi au ruhu…”“Kaabil juu ya Nafsi au Roho”.“…..Was-takmil fadha-iluha”“Ukamilishe fadhila zake (virtues) zake”.Uwe una Sa-ir, iwe kitu cha Nafsi au Roho, Fadhail uwekarim, hichi kitu cha Roho uwe unawapendelea watu wema, iweunampenda Mtume SAW , unajishughulika na kumtaja MnyeziMungu na kumtumikia Mnyezi Mungu, hayo yote ni mambo yaRoho. Shughulika na hayo “Aqbil alan Nafs”. Usiwe nawe ni mtuwa kujipima nguvu (Exercise) tu, unatizama Nafsi inakuaje kila sikuunajipima; unashindana kuvuta kamba, kua shujaa:“Washujaatus sabri saa”“Unavutwa na matamanio wewe ukapigana namatamanio ukasubiri”.Na Twariqa yote ukisikia kuna, Twariqa ni kumtengenezaInsaan yule anaeitwa Insaan, tena sehemu ya Ubinaadamu.Mikutano ya kheyri, ya Dhikri, macho yanatizama njia ya kupita.Lakini hasa Twariqa inamuongoza Insaan imfanye ana mahabakatika Moyo wake. Anampenda Mnyezi Mungu na Mtume wakeSAW na viumbe vya Mnyezi Mungu. Awe karimu, asiwe Mwizi,asiwe mjanja si madhambi ya Nafsi, madhambi ya Roho. Madhambi37.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!