12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

aada ya jitihada hizi na hizi katika kutafuta hakika ya akiliwameandika hivi (katika kitabu “Exploring Biology”):“We know from Experimentation that the cerebrumis the centre of intelligence, but we DO NOT as yetKNOW just what intelligence is. ONE great advancestep we have made is in discovaring that consciousnessand intelligence are centred in th cerebrum.Intelligence is a function of the cerebrum just aslife is a function of Protoplasm”.Maana yake:“Tuna jua kutokana na majaribio tulokwisha yafanza, kuacerebrum (sehemu moja katika tatu, ya ubongo) ni iliokokatikati ya akili (ni kitovu cha akili yote ) lakini badohatujafikia kujua hiyo akili ni kitu gani. Hatua moja kubwatulioipiga katika maendeleo ni iliopo katika kugundua yakwamba akili mahiri (tambuzi) na hio akili yenyewe ni ziliopokati kati ya cerebrum. Akili ikiwa matenda kazi yake niyenye kutokana na hio cerebrum, kama ilivyo kua uhai kuamatenda kazi yake ni yenye kutokana na misingi (ya tabiya)ute (wa uhai)”.Basi kutokana na kushirikiana pamoja (Nuru ya akili iliokondani ya Moyo) (na Bongo zote tatu zilizoko kichwani) ndipo mtuanapomudu kuswarifu mambo sawa sawa. Amma ikizimika Nuruya akili Ubongo peke yake haumudu kufanza kazi zote pekee.Kwani huonekana mtu ni mwenda wazimu, na kusamehewa mambomengi juu yake.Ni hiyo akili kutokana na kua kwake kitu cha ajabu, angaliajinsi tunavyo weza kujua na kusarifu mambo hata mingha-iri yakuyaona kwa macho, katika hali kama hizi, mathalan:1. Maji yamiminikao chini toka nyumba ya tatu ambayo ina kukupia.2. Nyama ya mbuzi inachomwa jirani yako; na nguru jirani yakomwingine, na kuunguliwa na nguo toka kwa jirani yako wambele.3. Uko mbele ya umati lakini katikati ya mgongo wako yuko chawaau ndorobo.25.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!