12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Qur an: Nisaa. 4: 78."Popote mlipo mauti yatakufikieni, na hata mkiwaKatika ngome madhubuti"."Out brief candle, life is but a walking shadow"."Uhi ni kama kivuli cha kupita tu, mshumaa mfupi,mara moja, hun`gaa kisha huo, haupo tena".Ghururi za dunia, mwisho wake hua kama hivyo kama mtuasipojirudi nafsi yake, ambayo haizeeki ikachakaa ikaonekana,lakini huzeeka kiwiliwil, mara ukawa huwezi tena; juu yakujikusuru kwako.kila siku mtu hujiona mtoto tu, shauri ya ghururi, basi usisubirimpaka ukafikia hali ile iloelezewa ndani ya:Qur an: Muuminun. 23:99."Hata yanapomfikia mmoja wao Mauti husema "Molawangu nirudishe (ulimwenguni)".Basi kama ni lazima (kwa mtu ) kuifwata dunia, basi nasaha yamaana juu yake, na iwe kama ile alioelezea Bwana Mtume S.AW:-"Mwenye kuitaka dunia basi juu yake awe na ilimu,na mwenye kuitaka akhera, juu yake awe na ilimu,na mwenye kutaka yalioko kati ya dunia na akherabasi juu yake awe na ilmu".Zipo na chungu ya hadithi mfano wa hiyo, juu ya dunia na mamboyake ya khadaa, bali tumefupisha tu. pia zipo beti zinazoelezeamwenye "Taba-ra ka dhul ulaa. Uk. 75” zinasema:-"Inna lil lahi iba-dan futwana tarkuud-dunya wakhaful fitana”.(Hakika Mnyezi Mungu Anao waja, wenye akili kweli kweli,4.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!