Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Hazitatosha kumkomboa mtu na dhima mbele ya Mnyezi Mungu.Ni lazima pia tutoe na faini ya Mola.Mifano ya mambo ya haramu mingine ni ile ya Uongo naKudanganya – Ghushi, ambayo Bwana Mtume Saw amesema juuyake kama vile:“Man ghaash-sha falaysa min-na”.“Mwenye kudanganya (ghush - Cheating) sipamoja na sisi (si katika – sisi).64.