12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

UNDANI WA KUTEKELEZA FARDHI:Qur an: Baqara:2 : 110.“Na simamisheni Swala, na toeni Zakaa na kherimtakazozitanguliza, kwa ajili ya Nafsi zenu,mtazikuta kwa Mwenyezi Mungu anayeona(yote) mnayoyafanya”.Swala na Zakaa ni miungoni mwa Fardhi alizotuwekea MnyeziMungu, kama alivyowawekea waliotangulia kabla yetu wakatiUislamu haukua umekamilika. Baada ya Swala na Zakaa, zinafwatiaSwaumu na Hajji.Amma Swala ni dua, au maombi kwa Mnyezi Mungukiunganisho kati ya Mja na Mola wake. Na pia ni Ibada mahsusiilioekewa nyakati zake mahsusi, na ndiyo ifarakishayo bainaMuislamu na Kafiri. Anaeacha Kuswali – hua Kafiri wa kweli kwahadithi ya Rasuli – Tahadhari nakwambia.Zakaa ni kutoa fungu maalumu katika mali iliyowajibikiazakaa juu yake. Na kuitoa kwa mwenye kustahiki. Fungu hilolinaweza kuchukuliwa kwa nguvu kwani sio lake Mtu, bali ni laMnyezi Mungu.Na Hijja ni kuikusudia Nyumba ya Mnyezi Mungu (Makka)kwa Ibada walau mara moja katika uhai; kwa mwenye uwezo (hasafedha) wa kwenda.Uchache wa Faradhi ni huo, na kwazo, unapatikana Uislamu.Lakini kwa vile hawezi asiyekuwa Muislamu, baleghe mwenyeakili, kupokelewa amali (zake) zozote katika hizo. Imelazimikakutamka “Laa ilaha illal lahu Muhammada Rasulullahi” (Kwawakati huu, kwani kwa zama za Nabii Isa As ingebidi iwe: “Laa -65.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!