12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Fasaw – waaka”“Akakufanya sawa, (mikono imekaa sawa na miguu,macho kila kitu kakiumba kimekaa sawa)”.Ingeweza ukawa miguu mirefu, mkono mmoja mrefu mmoja mfupi.Na yote hajakufanyia haya. Kakutengeneza bara-bbara.“Faadalaka”“…Akakufanya ulingane”.“Fi-ayyi suratin maa – sha-a”.“…Katika sura yeyote anayotaka yeye Mnyezi Mungu”.“Rak-kabaka”.“…Kakutengeneza (kakupandanisha)”(Kakupa sura unyoitaka, watu wangapi kuna mamilioni Waislamu tuduniani, wanaambiwa leo wako milioni alfu, na kila mmoja ninamna yake na sura yake na wewe una yako. Fikiri, kaa ufikiriusende kinyama, mnyama anakwenda kwa mwili tu - mambo yakimwili).Sasa kinchokuzuia baada ya kuwa umeonywa, baada yakuwa umeshazinduliwa, baada ya kuwa umezaliwa katika Uislamu,baada ya kuwa umesikia mambo ya Mungu na mambo ya tabia nzurina Roho zinazotakiwa Mtu awe nazo – Wema Insaaf, nini ufikirikilichokuzuia usiwe hivyo?“Bal tukadh dhibuna bid-diin”.“Mnakanya Mnakadhibisha hukumu siku ya kiyama”.Ungekuwa una Yaqini, mimi ntahukumiwa, kwa ninoyafanyaungeyakimbia yaliokatazwa. Yakikufika utafwata Qur aninavyokwambia (yalokatazwa) mbio unarejea kwa Mnyezi Mungu.KUREJEA KWA MNYEZI MUNGU:“Wastagh firul Laha innallah Ghafuwrun Rahi-m”.Wanaomtaka Maghfira Mnyezi Mungu–Innallah–Ghafurun-Rahim.39.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!