12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Ilaha illal - lahu Isa Rasulu Llahi” au Yahaya, Zakaria, Musa,hadi Adam – Rasulu Llahi).Katika tamko hilo ambalo hujulikanwa kama: “Shahada mbili”Ipo maana nzima ya “Tawhiid” yaani kumpekwesha MnyeziMungu (Divine Unity) Neno hilo ni zito sana na si kutamkwa kwaulimi tu peke yake, bali kwa Moyo (ule ambao ndio wewe mzimamzima Roho, Nafsi na Akili). Na hivyo ndio kukira kwa kweli,ambako matokeo yake hua kama hivi: Kafiri hua Muislamu.Hupanda Daraja ya juu toka chini . Huwa Mrehemewa badala yaMbughudhiwa. Huvuta mapenzi ya Muumba badala ya chuki zake(Sakhtwa). Humkimbiza Shetwani akawa mbali na Moyo wake Mtu.Lau baada ya tamko hilo unafikiwa na Mauti, basi kwa hadithiya Bwana mtume Saw, unakwenda peponi duna shakki- pasi nashaka yeyote ile, kwa sababu neno hilo lina uzito katika mizani kiasiambacho si mbingu na ardhi , wala Arshi na Kursi na Dunia zote,ambazo uzito wao unaweza kuinua “Laa Ilaha Illa Llahu”. MnyeziMungu Anasema katika:Qur an: Suratil Qaariah: 110: 6-9.Basi yule ambae mizani yake itakuwa nzito.Huyo yuka katika maisha yanayompendeza”.“Na yule ambaye mizani yake itakuwa nyepesi.Huyo maskani yake yatakuwa katika (huo moto )Hawiya”.Aya hii halikadhalika inawasaidia waumini kutatua mfano watatizo la waliokufa wawili bila kutambulikana majina anwani yaona Dini. Nguo sare, nywele sawa, na wote wamevaa vidani bangilina herein sikio moja (mfano wa vijana wetu wa kileo ambaowameacha nyendo za Jadi zao na Dini yao na kufuata utamaduni wakigeni ambao lengo lao ni kuudhoofisha Uislamu unaoingia kwakasi Duniani. Lakini hakuna wa kumudu kuuzuia au kuupiga vita(Basi inatumiwa mbinu za namna hiyo ili vijana wetu wawe66.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!