12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

"Naye ndie aliyemuumba Mwanadamu kwa maji, kishaakamfanyia nasabu (ya damu) na ujamaa wa ndoa,Na Mola wako ni mwenye uwezo (wa kila jambo)".Basi, ukizingatia ufafanuzi mfupi kama huu kuhusu majibu yakokatika aya mbili hizo:"Ameumba mtu kwa udongo wa ufinyazi (utoaosauti) kama vyombo vya udongo". (Ar-Rahman 55:14).Na"Hebu na ajitazame Mtu ameumbwa kwa kitugani? ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa,yatokayo katikati ya mifupi ya mgongona kifua”. (Twa-riq: 86: 5-7)Hutakosa, kuona ya kwamba kwa njia moja (direct) au nyengine(indirect) vijidudu hivyo (amoeba) ambavyo hupatikana:a. Mwenye Udongo wa maziwa ya maji, nab. Mwenye manii (mbegu ya uzazi) ni vyenye kuingia huku(kwenye umbo la mtu wa kwanza) na huku (kwenye umbo la mtuwa pili mfano wako wewe na mimi). Kiasi ambacho mwenye akilihawezi kupata taabu ya kusarifu mambo ya ajabu ya muumba:ambayo yametapakaa mno, sio kwetu tu (kama alivyosema MnyeziMungu katika:Qur an: Suratil Rom: 30 : 20."Na katika ishara zake za kuonyesha uwezo wakeni huku kukuumbeni kwa udongo, kisha mumekuwawatu mnaonea (kila mahala)”.Na kama vile ilivyo kwenye:Qur an: Dh-dha riyat: 51 : 21.13.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!