12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

mafundisho walofundisha maulamaa ambao ndo warithi wa MtumeSaw. Basi kitabu hii kitatosha kua shahidi juu yako YawmulQiyama (Qiyama). Sasa ilobaki ni kuzidi kujiendeleza na kuyatiamajaribuni yale ulokwisha yajua ikiwa ni pamoja na haya yafuatayohapa:KUACHA YALOHARAMISHWA:Undani wa suala hili si mzito sana, kwa sababu:-i. Mnyezi Mungu hakuamrisha jambo lolote ila linafaidaii.na maslahi na Mwanaadamu; naHakukataza jambo lolote ila lina hasara na madhara naMwanaadamu.Mfano wa Kamari - Ukicheza ukapata basi kwa vile ni tendolilokatazwa na Mnyezi Mungu pato lake litakua ni haramu na kulayake, vaa yake, na zaa yake itakua ni haramu. Na twaa ya Mtuambae vitu vyake ni vya haramu haisimami. Hukumu yake ni kamakuweka msingi juu ya maji ya bahari.Maafa ya kamari ni makubwa, na zaidi hua si ya khasara tupeke yake, bali yana madhara, wenye kufutwa (Kuliwa) aghlabuhupigana na pengine huua, kwa ghadhabu. Katika kamari nyinginewenye kufutwa huwarubuni wake zao wakawaacha siku mbili tatumpaka kumudu kuwakomboa, huo ni Udayuthi. (yaani ni kukosaari), na kila Dayuthi mwisho wake ni kuingia motoni.Mnyezi Mungu hakumuumba Mwanaadamu akampenda,akamtukuza juu ya viumbe vyote, ili aje amtie motoni – Hasha.Mfano mlevi - Amekatazwa kuukaribia wacha kuunywa; kwanigha-lib huharibika akili ya Mtu, ukiwa Mtu hujui nini usemalo. Napengine ukazusha ugomvi na kuumizana. Na mwisho ukipatausingizi hujui nini lipitalo, na hata ukijua unabaki kupayuka payukatu. hayo yote ni maafa makubwa. Mnyezi Mungu anasema katika:Qur an: Suratil Baqara: 2:219.57.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!