12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Na tutakutieni katika msukosuko wa (baadhi yaMambo haya). Hofu na njaa na upungufu wamali na wa watu na wa matunda. Na wapashehabari njema wanaosubiri. Ambao wapatapomsiba husema: “Hakika sisi ni wa MwenyeziMungu, na yeye tutarejea ( atatupa jaza yake)”.4. Kusubiri katika Akhlake (Tabiya). Tafauti za viumbevya Mnyezi Mungu, kwani wapo ambao hazipatani tabiazenu wala kulingana.Amesema Bwan Mtume Saw:“Mcheni Mnyezi Mungu popote ulipo – Na uendelezemema katika mabaya yako, yatafuta. Na ukae nawatu kwa Khulka nzuri”.Amma kwa upande wa Maarifa ya Swala inatosha kujua yakwamba imejengewa katika usafi kama ulivyojengewa Uislamumzima katika unadhifu.Kasema Bwana Mtume Saw:“Uislamu ni unadhifu, basi jinadhifisheni, kwanihaingii peponi ila mnadhifu”.Kwa hiyo ili iswihi Swala ya mtu ni lazima kuzingatia suala la:-Twahara: Kutwahirika (kutokana) na Hadathi ndogo (mkojo) nakubwa (Mavi) mwilini na kwenye nguo na pahala pakuswalia. Pia atwahirike najsi ipasayo kuoga (mfano waJanaba) Hedhi na nifasi.Janaba: Ni lenye kupatikana kwa kumuingilia Mwanamke auMnyama, kwa kadiri ya kichwa cha dhakar kiasi chakupotea ndani ya ule mzungo wa kichwa.72.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!