12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

wa nasaha wakati chini ya nasaha yake iposumu kali yenye kuweza kuua mara moja.Ujinga:Fidhuli ndani ya mji na nje yake – yeye huharibu kilahatua yenye sura ya kuendelea. Na daima hua peke,kwani kila anaemsogelea humkwepa.Bwana Mtume Saw amesema:“Ja-hil ni adui wa Nafsi yake mtu, vipiatakua rafiki wa mwengine?”.Chuki na husda: Hawa ni katika maadui ambao hua ni ugojwawenye madhara mazito yenye kufwatiliza kuhilikikwake mtu mara moja. Na mwisho ni:-Nafsi:Ambayo kama isipotayarishwa vile ipasavyo hasa,basi haiwezi kuitwa Mtu mwanaume alie Kamilikayaani: Rijaal.WATU WA KWELI KWELI:Amma wanaofaa kuitwa Rijaal si (kwa ajili ya) ghasia tu urijalini kuweza kupigana na Nafsi yako ukiwa umo ndani ya(mapambano ya) kupigana ili mwishoni uwe Mtu unaekwendamwendo mwema. Hata Mtu mmoja anawataja watu wakubwaAnasema :“Humur rijaal”Wao hao ndio Rijaal – (Wanaume) wa kweli”“Wa-ayb-an yuqa-lu liman-lam yattaswif fi maaniwaswfihir rijaalu”.“Aybu kusema kwa mtu asie sifika na sifa zao, kuayeye ni Rajul (Mwanaume)”. (Kafiri awe Rijaal, Fa-sikawe Rijaal, Mujrimu awe Rijaal – Itakuwaje!!).Rijaal wanoshughulika na Mnyezi Mungu na Iqamu Swala-ti nakusimamisha Swala.Yakha-funa yaw-ma - Wanaogopa siku,53.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!