12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Hedhi:Nifasi:Ni damu imtokayo Mwanamke mkubwa, kila mwezi(Monthly period) naNi damu ya uzazi.Mwenye Kuswali awe amesitiri uchi wake, ambao ni baina yakitovu na magoti – na Mwanamke kiwiliwili chake chote isipokuwauso na vitanga vya mikono. Wakati wa kuswali uwe umeshaingia,na ajue mwelekeo (Kibla) iko wapi na atambue kuwa Swala niFardhi juu yako.Ili uhakikishe kuwa umejitayarisha sawa ni lazima kujuahukumu ya maji aina saba:a. Ya mvua.b. Ya kisima.c. Ya mto.d. Ya bahari na Ziwa.e. Ya thaluji.f. Ya barafu.g. Na ya chem-chem.Hukumu yake ni kuwa:a. Kidogo: ambayo hayatimii madebe kumi na mbili (yaaniQullaten) ambayo yanaweza kunajisika kwa kuingiliwa nanajisi, na ingawaje hayajaharibika rangi, harufu au tamuyake.b. Mengi: ambayo hayawezi kunajisika hata yakiingiwa nanajisi ndani yake. Amma yakibadilika rangi, Harufu autamu yake hapo yatakuwa mas-ala mbali.Udhu:Maandalizi ya Swala ikiwa ni madhumuni ya Mja kukutanana kuzungumza na Mola wake, ambaye pia ni Mola wa Dunia zote,yalotaalaki mno na usafi kwa sababu Mnyezi Mungu Mwenyewe siomchafu. Kwa hivyo kabla ya kufikia, hatua hiyo, na baada ya Mtukuepukana na iana zote za uchafu (najisi) mavi, mkojo,damu, usaha,73.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!