12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Na law thamani ya Dunia mbele za Mnyezi MunguIngelingana na thamani ya ubawa wa mbu, basi(kila ) kafiri asingekunywa funda la maji”.Kwa hivyo kila taabu zinavyozidi kwa Muumini ndiokuthubutika kwa maneno ya Bwana Mtume SAW na ndiokukamilika kwa neno Insaan.“…..Likitengemaa hilo, kimetengemaa kiwili wili kizima,na likiharibika hilo umeharibika mwili mzima”.Ni wazi kuwa katika kulitengeneza hilo pande la Damu chafuambalo ndo chanzo cha Roho na Nafsi panahitajika matendo yawema katika kila njia. Na yote hayo yatekelezeke na Ikhlas. Katikamlango ufwatao zipo nasaha zote zile ambazo zitamnufaishamwenye mapenzi ya kweli katika kujitakia maslahi ya Nafsi yake,vile alivyotupendelea Bwana Mtume SAW.35

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!