12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kwa vile kuna mkusanyiko wa mawazo mabaya, Chuki,Mapenzi, Husda, Tamaa na Unyimi, Ubakhili na kadhalika Sukhaa,na Ndimo alimoweka Imaani, Yeye Mnyezi Mungu. Jumla yamambo yote hayo yamo ndani ya Moyo, na takriban yote ni maalumukwako, hakuna lililo geni kwako hata moja. Lakini hebu jiulize Nafsiyako katika Aya mbili hizi zifwatazo, ili ujitazame kama dai lakokatika kuyajua mambo yote tuliyochambua hapo nyuma, ni kweli aubabaisha tu?.Qur an: Ar-Rahman: 55:14.“Amemuumba Mtu kwa udongo wa Mfinyanzi(Utoao sauti) kama vyombo vya udongo”.Qur an: Suratil Twa-riq: 86:5 – 7.“Hebu na ajitazame Mtu ameumbwa kwa kitu gani?Ameumbwa kwa maji yatokayo kwa kuchupa (Yatokayokatikati ya mifupa ya mgongo na kifua”.Ufumbuzi: Ikiwa jawabu lako ni kutokana na aya ya kwanza, basibado kujijua Nafsi yako, na ikiwa jibu lako ni kutokana na aya ya pili,basi maana ni sawa.Kwa nini iwe hivyo? Kwa sababu, Mtu ambaye ametajwa katikaaya ya awali Ni baba yetu Naby Adam Asw, ambaye ndiye pekeewa kwanza kuumbwa moja kwa moja, (Directly). kutokana naudongo.Wa pili, kufuatia alikuwa mkewe, ambaye katika masalia yaudongo ule ule aliumbwa yeye (Mama Hawwa). Na wa tatu, lakinikatika njia ambayo iliwashangaza watu tangu siku hizo hadi leo, niNaby Isa As ambaye Mnyezi Mungu Muumba alitwambia jinsialivyowaumba wote wawili ni mfumo mmoja tu:Qur an: A`al Imran: 3:59.11.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!