12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

hawakuhitilafiana sana katika jitihada zao: wao wameona mbalizaidi ya madaktari:Kwanza: Wameona kua katika kiwiliwili kizima hakuna ambakopanamvutia na kumuhimu mno Mnyezi Mungu kama hapo, na kwasababu gani mpaka iwe hivyo? Kwa sababu: Ndo mahala pekeeanapopatizama Mnyezi Mungu, Hadithi inathibitisha hayo:“Mnyezi Mungu hatizami sura zenu wala mali nawatoto wenu. Lakini Mnyezi Mungu anatizamanyoyo zenu na matendo yenu".Mnyezi Mungu anaupitia moyo wa kila mtu mara 360 kila siku. Naukiwa mtu wa akili na mazingatio utaona kua inastahili iwe hivyoushirikiano ulioko baina ya Moyo, Akili na Roho, ndani ya mwiliwa mtu wa ajabu. Na hasa inapofikia Roho kutaka kuueleza moyoambao ndani yake ndo kwenye Nuru ya Akili kutaka kuelezea juuya Siri ya uhai.Pili: Ndio utaulizwa (mas-uwl) na Mnyezi Mungu, kamailivyoonyesha hapo nyuma katika aya namba 4 katika sura ya 17 ayaya 36 (Bani Israel). Ikiwa hiyo ndo hakika ya mamboyatavyokwenda, mtu ungeweza kufikiria njia yake mwenyewe jinsivile ungejibu suala la kuulizwa ambae alizikwa bila moyo wakendani ya kiwiliwili.Tatu: Ndio utaoonja Raha au Mateso hiyo siku ya hesabu.Nne: Ndio wenye Nuru ndani yake ambayo kwayo mtu husarifuchungu ya mambo muhimu. Kwayo (hiyo akili) Mtu hua mukalif(mkalifiwa au mbidiwa na jukumu la sharia (Islam). Aya nambari 2ambayo imenukuru Surat Hajj 22: 46 inahusika. Angalia kwamakini jinsi gani Mnyezi Mungu amejaalia huo huo Moyo kua naakili ndani yake. Hii ni fununu tu kwako, basi ikiwa ni yenyekulingana na kupewa funguo mikononi, juu yako ni kufungua kilaunapopataka Wewe!.Tano: Ndio ambao huwekwa (na mwenyewe Mnyezi Mungu)Imaani ndani yake, na ikiwa ndio hivyo basi mfano wa waumini wadini mbalimbali ni wenye kututosha.18.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!