12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Na ambae anajitia hamnazo, akidhani kua atayakwepa auatayakimbia, basi Mnyezi Mungu anatwambia na kutukumbushakatika:Qur an: Suratil Juma - a: 62:8.“Sema: Hakika mauti haya mnayoyakikimbia bilashaka yatakutana nanyi kisha mtarudishwa kwamjuzi wa siri na dhahiri hapo atakujulisheni yotemliyokuwa mkiyatenda”.Basi katika aya ambazo ni za kumkatisha tamaa yule adhaniaekua atadumu hapo duniani kwa ujanja wake akifaulu kuyakimbiamauti ni hayo na juu ya hivyo Mnyezi Mungu hapendi desturi yakukata tamaa kwani hiyo ni tabia ya makafiri. yeye humpendeleamja wake matumaini ya hakika. kwa hivyo Bwana Mtume SAWametufundisha njia nzuri ya kuishi nayo ni kama hii; njia nzuri yakuishi kwa sababu dunia inatubidi na akhera pia inatubidi ni hii:“Jishughulishe na dunia kama kwamba utaishi milelena ujishughulishe na akhera kama kwamba utakufakesho”.Na vile vile amesema:“Hakua mbora wenu ambae anaacha dunia kwa ajili yaakhera yake, wala yule mwenye kuacha akhera kwaajili ya dunia yake, bali mbora wenu ni yule mwenyekushikamana na vyote hivyo kwani dunia ndio kiwasilishocha akhera’’.7.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!