12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

mwisho wa “Ka-ida” ambapo herufi ya mwisho ni “Ghain” nayoni 1000. Na ambayo “Kihijaya” ni 19. Halafu katika hiyo hiyo njiakubwa ipo njia nyingine tofauti kidogo. Na inapoingia hiyo basi, hiiambayo ndo kubwa inarudi kuwa ya kati na kati. Njia hiyo ni yakupatika herufi kama itamkwavyo moja moja. Mfano “<strong>Al</strong>if” ni –<strong>Al</strong>if, Lam, Fa. Kwa hiyo badala ya kua ni 1 (moja) inakua mia nakumi na moj (111) kwa sababu: <strong>Al</strong>if ni 1, Lam ni 30, na Fa ni 80.Kwa hivyo mfano wa Kumuomba Mnyezi Mungu kwaJina lake “<strong>Al</strong>lah” itatubidi tutimize idadi yake mara 66 (Sitini nasita). Kwa njia zote hizo, Mnyezi Mungu humpa kila anaetakakupewa .Amesema Bwana Mtume Saw:“Mnyezi Mungu amekipa kila kitu silaha na silahaya muumini ni Dua”.Kwa hivyo kila mwenye akili lazima ajue matumizi yaSilaha vizuri kwani kisu kile kile ulichokinunua ili kikatiwe nyanyana vitunguu, kinweza pia kuhudhurishwa mahakamani kamakielelezo katika kesi ya kuua (Murder case).Vyovyote itavyokuwa, mategemeo yapo kwa muombajimwenyewe, katika kua na moyo kwake pamoja na matumaini(Confidence) mbele ya Mola wake. Kila siku tu anatakiwa awe namatumaini – Asikate tama kwa sababu: “Hawakati tamaa illa watumakafiri”.Ni kawaida kwa Mwanadamu kuelekeza mambo yakekwa yule ambae anajua ndie mwenye nacho kile akitakacho, na anamatumaini kua atampa au atapata tu kutoka kwake. Basi kulikokiumbe, Mnyezi Mungu ndie ahakki wa kua na kila tunachokitaka,mradi tu tuweke matumaini ya hali ya juu kua tutapata. Kwa sababutunamuomba Ambae hapungukiwi hata siku moja.Lakini inapotokea kukosa yale uliyoyaomba, basijichunguze wewe mwenyewe kwanza kwa sababu Mnyezi Mungu sirahisi kuvunja alichoahidi – Huenda sababu ikawa ni yenyekutokana na wewe mwenyewe au ikawa umeyakosea mashrti yakuomba. Basi jaribu tena utafanikiwa tu Insha <strong>Al</strong>lah.Qur an: Baqara:2:186.83

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!