12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

haki ya binaadamu, Mnyezi Mungu hukusamehe.Ikiwa haki yaBinaadamu, kakosea mtu - kaharibia mtu nyumba, ameharibia watuwatoto wao majumbani. Haki ya binaadamu inakuwa taabu. Lakiniyako wewe Nafsi yako na Mnyezi Mungu, ukikumbuka ukarejeaMnyezi Mungu anakupokea:“Wal ladhina idha faalu fa-hishatan ““Na wale watu wema wanapofanya (Fa-hishatan)uchafu (Aw-dhala-mu anfusa-hum) – auwakadhulumu nafsi zao (dhakarul Lah)Wanakumbuka Mnyezi Mungu.“Fastaghfiru li-dhunubi-him”.“Wanataka maghfira kwa Mnyezi Mungukwa dhambi zao”.“Waman- yaghfiru dhunu-b illa Llahu”.“Na nani mwenye kughufiria madhambi ilaMnyezi Mungu”.Anakutaka Mnyezi Mungu wende kwake wakakutakiemaghfira, ukijiachia basi, Malaika wataandika wala hapana kua:“Aa miye Mungu ananighufurilia kwa hivyo ntaasi”, wakati huoupate yanotakiwa uwe nayo Majuto na Tawba, kua ndo sababu yawewe kughufuriliwa.Hiyo ni kua tabia (Environment) pahali palipokuzunguka,dunia yako ulonayo mambo kadhaa wa kadhaa yamekuvuta,umefanya silo- sio umezoweya kusema uongo ulipokuwa mdogounakutoka vile vile kwa sababu ya mazoeya ya uongo, hayo ndiyoyanosemwa sio kua “Aa, Mungu yupo atanisamehe, ntastaghfiru “.Huwezi, Istighfari sio kusema “Astaghfirrullah”, ni kutakaakughufirilie, na hakughfirilii mpaka ajue kwa kweli umejuta ikiwando hivi, hata ukichupa mpaka vipi kwa ubaya, unaingia katikaanaowaambia:“Yaa iba-diyal ldhina asrafu ala- anfusi-himu”.“Enyi waja angu ambao wamechupa mpakajuu ya Nafsi zao”.Pengine Mtu kakulia pamoja na kikundi cha watu wabaya, kaingiaulevini, akazoeya uongo - anaongopa - kazoeya kufwatia mbio41.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!