12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Akisema Bwana Mtume SAW:“Usimlilie aliekufa, mlilie aliepungua akili yake.Basi kwa kadiri ya upungufu katika hisia tano, Ndipo piamazingatio ya upungufu wa akili yake kwa jumla. Hisi zote tanohushindwa kufanya kazi kama mtu akilala usingizi.Kila kitu kina sifa, na akili nayo ina sifa zake. Katika hadithiiliopokelewa kwa Bi Aisha (R.a) hakika amesema Bwana MtumeSAW:“Akili inayo sehemu kumi, kati ya hizo zimegawanyika ndani yamafungu mawili:1. Dhwa-hiri na 2. Ba-tini.Sifa tano zilizomo ndani ya kundi la:Dhwa-hiri ni hizi:-1. Samt. Yaani ukimya kwani amesema Bwana MtumeSAW: “Mwenye kuzidisha maneno yake huzidikuanguka (kuporomoka) kwake”(Speech issilver silence is gold) kusema sema ni fedha,kunyamaza ni dhahabu.2. Hilm: Upole.3. Tawa-dhui: Unyenyekevu ikiwa ni ile hali ya kujitupa chini nahata kama Mnyezi Mungu amekufanza mfalme,kwani hapo ndipo hasa pahala pake, kasema BwanaMtume SAW:-“Mwenye kujiweka chini, Mnyezi Munguhumrufaisha (Humnyanyua, Humpandishacheo juu)”.4. Kuamrisha mema na kukataza maovu: Maana yake ni dha-hirikabisa kwani kilicho toa ubora kwa UmatMuhammad SAW mbele za Mnyazi Mungu ni sifahiyo.5. Amal swa-lih: Kuwa na amal njema ipendeleayo kheri kila mara.Sifa tano za Ba-tin:-6. Tafakkur: Hali ya kufikiri fikra hasa mambo mengi mengi tuya ajabu, ambayo Mnyezi Mungu ameyaumba,26.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!