12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

UNDANI WA KUTEKELEZA WAJIBATI:Ni wajibu wa kila mja, sio Muislamu tu kumjua MnyeziMungu. Lakini katika Kumtambua kikweli, hapo ndipo penyemfarakano baina waumini wa kweli.Wana Adamu huweza kuzusha ubishani mkubwa juu yachombo kidogo mfano wa saa – huyu akasema: “Sanaa ya Japan”(made in Japan), mwingine akasema: “Laa ni U.K” (made in U.k).Lakini ajabu, si kawaida kufuma watu wakizoza katika suala la BinAdam, kajiumba mwenyewe, (au kaumbwa na sheytwani nakadhalika).Katika kumjua Mnyezi Mungu ziko faida nyingi ambazoMwanadamu hawezi kuzidhibiti zote. Inatosha (lau Mnyezi Munguhafanani kinamna hiyo), kuangalia mfano wa Mtu anavyofanyarafiki mpya.Mwislamu anatosha kuitwa “A-llim” (yaani mjuzi sio –mjinga), kwa kuyajua majina (ya Mnyezi Mungu 99 - Tisinin natisa) maarufu kwa “Asmaaul Lahil husna – Majina ya MnyeziMungu, yalio matukufu na mazuri mazuri”.Twaba-an katika kujiandaa kumjua kwako, kama si kwahayo Majina 99 ambayo yamekusanya Swifa chungu nzima, basihata yale 20 au13 ambayo ndio Wa-jibu, hutakosa kujua kua yeyeyupo, na haiwezekani kukosekana – kwa sababu kukosekana ni sifapungufu ambapo si laiki yake (yaani na hazimstahiki hata kidogo).Sifa yeyote ya Mnyezi Mungu ambayo Akili ya Mtu (ikiwa ndochombo pekee kilicho madhubuti kuweza kuhukumu majambo yoteMtu kwenye uhai kinjia ya miujiza ilokwea kabisa) haiwezikuikubali, basi sio yake kweli. Na bila kuilisha kuilisha mfano wamasuala kama: “Mnyezi Mungu kakosekana. Jee kaenda wapi?“Nani badala yake alishika nafasi yake?” Na “Waja wakewalikiabudu nini alipokosekana? Kwa hali yeyote ile sifa kamahizo akili haiwezi kuzikubali.Mnyezi Mungu sio mjinga kwa hiyo yeyote anayejiandaakumjua ni wajibu kua na Ilimu – basi kwa uchache hata kwa kuulizawale wajuzi ili wakueleweshe vizuri.Katika sifa za Mnyezi Mungu zilizoepukika na Upungufu(nuksani) 99 ndani yake muna kila jambo linalohusu (Manufaa)79.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!