Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
huanguka na yeye Mtu hujitenga akenda kwengine (Barzakhyaanipahali pa mapumziko na mateso ya muda tu hadi kufikasiku ya kiyama na siku ya hukumu).viungo na nguvu za ndini:Hivi, kwa upande hua ni silaha, lakini kwa kweli niwahandishi (San-nai) kwa mambo.Kiwiliwili:Akili:Ni mfano wa Mji, Marikebu, ambayo Moyoimependa.Mfalme mwelewa, na nguvu zake zinatokana nahawasi za dha-hiri na ba-tini ambazo ni kama Askariwake, na Viungo ni kama Raiya.Na hata Bwana Mtume Saw alikua na maana kubwa aliposemajuu ya viungo kama:-Nguvu za Akili“Kullukum ra-in-wa kullu ra-ni mas-uw-lunan raiyyatihi”.“Nyote ni wachunga (khalifa) na kila mchunga nimwenye kuulizwa kwa vichungwa (raiya ) vyake”.Nguvu za kufikiri.Matendo – A`maliHao ni halmashauri na ni Mawaziriwake Mtu.ADUI ZAKE MTUShah-wa:Ghadhabu najoto lake:Yaani matamanio ya Nafsi, ni mtumishi muovusana ambaye kila mara anaazimia kumuhilikishaMtu. Hana wema hata mara moja juu ya Mtu, nadaima husubiana na Sheytwan-rajiim.Ni kama Askari muongo, hadaa zimejaa tele na nikhabithi kweli kweli. Daima hujifunza Mtu mzuri52.