12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

huanguka na yeye Mtu hujitenga akenda kwengine (Barzakhyaanipahali pa mapumziko na mateso ya muda tu hadi kufikasiku ya kiyama na siku ya hukumu).viungo na nguvu za ndini:Hivi, kwa upande hua ni silaha, lakini kwa kweli niwahandishi (San-nai) kwa mambo.Kiwiliwili:Akili:Ni mfano wa Mji, Marikebu, ambayo Moyoimependa.Mfalme mwelewa, na nguvu zake zinatokana nahawasi za dha-hiri na ba-tini ambazo ni kama Askariwake, na Viungo ni kama Raiya.Na hata Bwana Mtume Saw alikua na maana kubwa aliposemajuu ya viungo kama:-Nguvu za Akili“Kullukum ra-in-wa kullu ra-ni mas-uw-lunan raiyyatihi”.“Nyote ni wachunga (khalifa) na kila mchunga nimwenye kuulizwa kwa vichungwa (raiya ) vyake”.Nguvu za kufikiri.Matendo – A`maliHao ni halmashauri na ni Mawaziriwake Mtu.ADUI ZAKE MTUShah-wa:Ghadhabu najoto lake:Yaani matamanio ya Nafsi, ni mtumishi muovusana ambaye kila mara anaazimia kumuhilikishaMtu. Hana wema hata mara moja juu ya Mtu, nadaima husubiana na Sheytwan-rajiim.Ni kama Askari muongo, hadaa zimejaa tele na nikhabithi kweli kweli. Daima hujifunza Mtu mzuri52.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!