12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

“Bila shaka mnao mfano mwema (Ruwaza nzuri) kwaMtume wa Mwenyezi Mungu, kwa mwenyekumuogopa Mwenyezi Mungu na siku ya mwishona kumtaja Mwenyezi Mungu sana”.Qur an: At-Tawba:9:103.“Chukua Sadaka katika mali zao, uwasafishe kwaajili ya hizo (Sadaka zao) na kuwataja kwa vizuri(mbele yangu) – na Uwaombee Dua. Hakikakuwaombea kwako kutawapa utulivu(watengenekewe), na Mwenyezi Mungu ndiyeasikiaye na ajuaye”.Na jaha ya Bwana Mtume SAW pamoja na kutawassuli naekunaonekana wazi katika Ayah ii iliopo kwenye Juzuu ya tano:Qur an:Annisa: 4:64.“Na hatukumleta Mtume yeyote ila atiiwe kwa amriya Mwenyezi Mungu. Na lau wangalijuawalipojidhulumu nafsi zao (kwa kwenda kuhukumiwa,xi.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!