12.07.2015 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

“Tataqallabu fii-hil qulub wal-abswa-r”.“Zitageuka ndani yake (ndani ya siku hiyo) nyoyo na maoni”.“Liyajzia – humu-Llahu kulla nafsin ma-amilat”“Mungu apate kuilipia kila nafsi kilichochuma (kila nafsiitalipwa kilichochuma)”.“Fa-man yaamal mith-qala dhar-ratin khayran yara-hu”“Mwenye kufanya uzito wa chembe ndogo ya kheri ataiona”.“Waman yaamal mith-qala dhar-ratin shar-ran yara-hu”.“Na mwenye kufanya uzito wa chembe ndogo ya shari ataiona”Anasema Mnyezi Mungu katika Hadithil Quds:-“Hakika si vingine, ni vitendo vyenu nyie wenyewe –Nakuthibitieni – Faman wajada khyran fal - yahmidulLah – Mwenye kukuta kheri na amshukuru MnyeziMungu–Waman wajada ghyra dha-lika falaa yalumuIlla nafsiha. Mwenye kukuta kisichokua kheri asilaumuila nafsi yake”Kila Mtu atapewa chuo chake,“Iqra-a kita-baka”“Soma chuo chako - Soma daftari lako”.“Kafa binafsikal yawma alayka hasi-ba”“Utatosha leo wewe kujifanyia hesabu, huna haja hataufanziwe hisabu na mwenginewe (utatizama mwenyewe)”.“Manih tadaa fa-innama yahtadi linafsih”.“Mwenye kuongoka (akiwa sehemu nyingine) ndo anaongokakwa sababu ya nafsi yake”.“Waman dhal-la innama yadhil lu alayhi”.“Mwenye kupotea anapotea juu ya Nafsi yake mwenyewe”.“Walaa taziru wa-ziratu”“Habebi mwenye kubeba”.54.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!