08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

(i) Kuhurumiana na kusaidiana wakati wa shida<br />

na matatizo.<br />

Allah (s.w) anatutanabahisha katika aya ifuatayo:<br />

Sio wema (peke yake) kuwa mnaelekeza nyuso zenu upande<br />

wa Mashariki na Magharibi. Bali wema hasa (ni wa wale)<br />

wanaomwamini Mwenyezi Mungu na Siku ya Mwisho na<br />

Malaika na Kitabu na Manabii na wanawapa mali juu ya<br />

kuwa wanayapenda, jamaa na mayatima na maskini na<br />

wasafiri (walioharibikiwa) na waombao na katika<br />

(kuwakomboa) watumwa, na wakawa wanasimamisha swala<br />

na kutoa zakat, na watekelezao ahadi zao wanapoahidi, na<br />

wavumiliao wakati wa shida na dhara na wakati wa vita,<br />

hao ndio waliosadikisha (Uislamu wao) na hao ndio<br />

wamchao Mungu. (2:177)<br />

Aya hii imeeleza kwa upana kuwa mwema hasa ni Muumini<br />

mwenye kutekeleza vilivyo maamrisho yote ya Uislamu ikiwa ni<br />

pamoja na kuwahurumia na kuwasaidia wenye kuhitajia msaada<br />

kwa kadri ya uwezo wake. Kuhurumiana na kusaidiana kunajenga<br />

udugu na upendo wa ndani miongoni mwa wahusika kama<br />

tunavyojifunza katika Hadith zifuatazo:<br />

88

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!