08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Wamewafanya Wanavyuoni wao na Watawa wao kuwa<br />

ni miungu badala ya Mwenyezi Mungu, na wamemfanya<br />

Masihi Mwana wa Maryamu (pia Mungu)hali<br />

hawakuamrishwa isipokuwa kumuabudu Mungu mmoja,<br />

hakuna anayestahiki kuabudiwa ila Yeye. Ametakasika<br />

na yale wanayomshirikisha nayo.” (9:31).<br />

“Enyi Mlioamini! Wengi katika Makasisi(Wanavyuoni wa<br />

Mayahudi na wakristo) na Watawa (wao) wanakula mali za<br />

watu kwa batili na kuwazuilia njia ya Mwenyezi Mungu…”<br />

(9:34)<br />

Katika kipindi hicho cha historia utawala wa Kikristo Ulaya<br />

Magharibi uliwakandamiza na kuwanyonya wanyonge kama<br />

utawala wa kishirikina ulivyokuwa ukifanya huko Mashariki ya<br />

Kati na Mashariki ya mbali. Katika kipindi hiki wanasayansi<br />

walioibuka na ugunduzi ulio kinyume na maelezo ya Wakuu wa<br />

Kanisa walisulubiwa na kuuliwa kinyama.<br />

Kuandaliwa Mtume(s.a.w)<br />

Mitume huzaliwa Mitume. Mitume wa Allah wamekusudiwa<br />

kuwa walimu na viigizo katika jamii zao. Hivyo Allah (s.w) Mjuzi<br />

Mwenye Hekima, aliwaandaa kuanzia mbali kabisa, ili<br />

kuwawezesha kufikia lengo kuu lililo kusudiwa na ili kuifanya kila<br />

hatua ya maisha yao iwe ni funzo kwa Umma zao na Umma<br />

zilizofuatia.<br />

40

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!