08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Katika hali halisi ni vigumu kupatikana umma wa Kiislamu<br />

kutokana na jamii ya kijahili pasi na maandalizi. Uwezekano wa<br />

kuunda umma huo utakaosimamisha Uislamu katika jamii<br />

utakuwepo tu pale Waislamu wachache watakapotanabahi na<br />

kuunda kundi lililoshikamana barabara likajizatiti katika<br />

kulingania Uislamu, kuamrisha mema na kukataza<br />

maovu katika jamii kama alivyojizatiti Mtume (s.a.w) na<br />

maswahaba wake. Kuhusu kundi hili Allah (s.w) anaagiza:<br />

“Na wawepo katika nyinyi watu wanaolingania kheri<br />

(Uislamu) na wanaoamrisha mema na kukataza maovu na<br />

hao ndio watakaotengenekewa.” (3:104).<br />

Sifa za kundi la harakati<br />

Si kila kundi litakalojitokeza na kudai kuwa linalingania<br />

Uislamu katika jamii litakuwa lile lililoagizwa katika Qur-an<br />

(3:104). Vikundi vingi tunavyovifahamu vilivyojitangazia kuwa ni<br />

vikundi vya Harakati vimeishia katika kuwafarakanisha Waislamu<br />

na kuzidi kuwapa mwanya maadui wa Uislamu wazidi<br />

kuuangamiza. Tukumbuke kuwa kazi hii ni kazi takatifu<br />

iliyofanywa na Mitume wa Allah (s.w) na wale walioamini pamoja<br />

nao. Hivyo, mafanikio katika kazi hii yatapatikana tu kama kundi<br />

la Harakati litaigiza vilivyo mwenendo wa Mitume na walioamini<br />

pamoja nao katika kufanya kazi hii.<br />

Kundi la Harakati ili liweze kufanikiwa katika kuhuisha<br />

Uislamu na kuusimamisha katika jamii linalazimika kwa ujumla<br />

wake liwe na sifa za msingi zifuatazo:<br />

83

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!