08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kazi za Viongozi wa Darasa Duara<br />

Shura: Ndio chombo cha kutoa sera na maamuzi ya mwisho<br />

ya darasa:<br />

Amir: Atakuwa na shughuli zifuatazo:<br />

(i) Kuendesha darasa kama Mwenyekiti.<br />

(ii) Kuratibu shughuli zote za darasa.<br />

(iii) Kuchunga nidhamu ya wana darasa.<br />

(iv) Kung’amua wana darasa wenye nidhamu na ari kubwa<br />

ya kusimamisha Uislamu katika jamii.<br />

(v) Kuwa msimamizi mkuu wa utekelezaji wa yote<br />

yaliyoazimiwa katika darasa.<br />

Katibu: Atakuwa na shughuli zifuatazo:<br />

(i) Kuweka rikodi ya mahudhurio.<br />

(ii) Kunukuu viini vikuu vya mada na majadiliano na<br />

maazimio yaliyofikiwa mwisho wa somo.<br />

(iii) Kuandika kumbukumbu za vikao vya Shura,<br />

(iv) Kufanya kazi nyingine za uandishi.<br />

(v) Kumshauri Amir.<br />

Mhazini: Atafanya kazi zifuatazo:<br />

(i) Kukusanya Zakat na Sadaka.<br />

(ii) Kukusanya michango maalumu kama vile 2 1 / 2% ya<br />

kipato cha kila mwanadarasa cha mwezi kwa ajili ya<br />

Harakati.<br />

(iii) Kununua vifaa vya darasa vinavyohitajika.<br />

(iv) Kuweka mahesabu ya mapato na matumizi ya darasa.<br />

(v) Kutoa ripoti ya mapato na matumizi kwa Amir na Shura<br />

kila itakapohitajika.<br />

(vi) Kufanya kazi nyingine yeyote itakayohusiana na<br />

mapato na matumizi ya darasa.<br />

113

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!