08.06.2013 Views

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

Download - islamic education panel

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Zoezi la Tano<br />

1. “Na ni nani asemaye kauli bora zaidi kuliko (yule) aitaye kwa<br />

Mwenyezi Mungu, na (mwenyewe), akafanya vitendo vizuri na<br />

kusema au Hakika mini ni miongoni mwa waislamu.” (41:33)<br />

(a) Toa mafunzo matatu ya msingi yatokanayo na aya hii.<br />

(b) Kutokana na aya hii (41:33) nini maana ya Da’awah ?<br />

(c) Tofautisha kutoa Da’awah na kuwaidhi,<br />

2. “Kwa yakini sisi tulizidhihirisha amri zetu na makatazo<br />

yetu, (tukaziuliza) mbingu na ardhi na milima vikakataa<br />

kuichukua (ahadi hiyo) na vikaiogopa, lakini<br />

mwanaadamu akaichukua bila shaka<br />

yeye ni dhalimu mkubwa, mjinga sana. (33:72)<br />

(a) Bainisha amana aliyokabidhiwa mwanaadamu na mola<br />

wake.<br />

(b) “Bila shaka yeye (mwanaadamu) ni dhalimu mkubwa<br />

mjinga sana”, kwa nini ?<br />

3. Waite (watu) katika njia ya Mola wako kwa hikima na<br />

mauidha mema, na ujadiliane nao kwa namna iliyo bora<br />

Hakika Mola wako ndiye anayemjua aliyepotea katika<br />

njia yake, Naye ndiye anayewajua walioongoka. (16:125)<br />

Toa mafunzo matano yatokanayo na aya hii.<br />

4. Kwa kurejea Qur’an (16:125), eleza kwa muhtasari juu ya<br />

(a) Hikima katika Da’awah.<br />

(b) Mawaidha mema.<br />

(c) Kujadiliana kwa namna iliyo bora.<br />

167

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!